MAAMBUKIZI au Infection ya masikio ni tatizo kubwa kwa watoto, sikio limejigawa sehemu kuu tatu ya ndani, nje na kati. Matatizo mara nyingi yanashambulia sehemu ya kati ya sikio (Otitis media) inashambulia watoto wachanga na watoto wadogo na nyingine ni sehemu ya ndani ya sikio (Otitis...
Mkuu nenda kawashitaki Mahakamani na uweke Wakili apate kukutetea utapata haki yako kuliko kuja hapa kulalamika haupati kitu Waturuki huwajuwi watamaliza contract yao watakukimbia na kukuacha njia panda fanya upesi ukawashitaki kabla hawaja maliza mikataba yao ya ujenzi wa hiyo reli ya SGR.
MAGUFULI: HAKUNA KUZUIA WATU KUTOKA NDANI (LOCKDOWN) DAR WALA SEHEMU YOYOTE TANZANIA KWA SABABU YA CORONA
1. “Wapo wengine wanatoa mawazo ya kuifunga Dar es Salamaam hilo haliwezekani kwasababu karibu asilimia 80 ya ukusanyaji wa kodi kwa nchi yetu inapatikana Dar es salaam, tuendelee kuchukua...
MAMBO 17 YALIYOSABABISHA KUUAWA KWA GADAFFI
1. LIBYA kulikuwa hakuna bili ya umeme, means umeme ulikuwa bure kwa raia wote
2. Libya kulikuwa hakuna Riba kwenye mikopo, Benk zote Libya zilikuwa za Umma na mikopo ilitolewa kwa raia wote tena bila Riba.
3. Gadafi alisisitiza kwamba, wazazi wake...
Kwa Wale Wenzangu Wanaumwa na Maradhi ya Kichwa Hebu jiangalie Jinsi Kichwa Chako kianavyo Uma.
UKIUMWA NA MARADHI YA KICHWA KATIKATI YA UTOSI NI DALILI INAYO ONYESHA KUWA UNAHıTAJI UNYWE MAJI YA KUTOSHA NA CHAKULA. CHENYE AFYA.
UKIUMWA NA KICHWA KWA MBELE UTOSINI INAONYESHA UNAHITAJI UPATE...
President Erdogan and his Tanzanian counterpart Hassan speak at joint press conference.
https://www.youtube.com/watch?v=vR0rpzzSyfE&ab_channel=HaberL%C3%BCtfen
Anasema ukweli hakuna Maendeleo Tanzania ipo kama Cambodia kimaendeleo bado tuko nyuma kwa kila kitu CCM haiendelezi nchi kwenda mbele V,ongozi wa CCM wanakula wao nchi inazidi kudidimia kimaendeleo hata mimi ninamuunga mkono huyu M-Marekani Mweusi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.