Wakati Wakenya wakiendelea kuishiikiza serikali kupunguza bei ya mafuta kwa kufanya maandamano makubwa, hivi ndivyo mchora katuni wetu Meddy Jumanne anatathimini kadhia hiyo. Wewe umeona nini? Tuambie kwenye komenti. chanzo.DW Kiswahili
Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré, ameendelea kusisitiza umuhimu wa amani na mshikamano kati ya vyombo vya dola na wananchi, kwa kueleza kuwa hataki polisi wake kutumia vitisho kwa raia wala kutembea na bunduki kwa namna inayoweza kuleta hofu kwa wananchi.
Traoré amesema lengo lake ni kuona...
Kuna video moja nimekutana nayo mtandaoni kutoka NYUNDO TV inayozungumzia suala zito sana na la kusikitisha ambalo limekuwa likitokea hivi karibuni kwa ndugu zetu walioko Diaspora. Video hiyo imebeba maudhui: "Kwa nini watanzania wengi kufa kwa kupigwa risasi South Afrika siri hii hapa."
Kama...
MAKALA HII IMELETWA KWENU NA DUNIA INA MAMBO.
Pichani ni mwandishi wa habari wa Ufaransa Catherine Perez Shakdam, anayetajwa kuwa jasusi hatari zaidi wa Mossad aliyefanikiwa kupenya ndani ya Iran na kutoa taarifa zilizoishangaza Iran na dunia nzima
Catherine mzaliwa wa Ufaransa mtoto wa wazazi...
Wadanganyika mumemkubali Mfanya Biashara mkubwa duniani aka Mr Trump alete jeshi lake hpo Bongo?Subirini madevu atakavyo wafanya. atawarushieni Makombora ya masafa marefu kutoka kwake mpaka hapo jijini Dar kazi kwenu. Uarabuni kunawaka moto itakuwa nyinyi hamna kinga yoyote ile.
Mtego waPanya huo....................
UTANI KIDOGO!
KIM JOUNG UN Ameweka Bendera Ya IRAN Korea Kaskazini Ili TRUMP Afikirie Kuwa Ni Iran. apate Kuipiga Korea ya Kaskazini.......
Huna mpya wewe hata huyo aliyekufundisha aisome Quran mara 1000hataielewa kwa tafsiri zako za pumba kama unavyotafsiri wewe Quran hutawezakui chalenge Kitabu cha Allah.Wameshindwa Ma-Professa ulimwenguni itakuwa wewe usiyejuwa kitu?chukuwa hadithi uikosoe Quran kwani Quran ni maneno ayaAllah...
Mjibebe tena Wa-Tanganyika mufunge mikanda mukabiliane na hali ya uchumi kuwa ni mbaya. Na nchi Ma-Taifa ya Ulaya magharibi yamewasusia misaada yao hawatatoa tena kwenu Wa-Tanganyika.Mufunge mikanda kukabiliana na haili mbaya ya kiuchıumi mifumuko ya bei vitu kupanda na kodi itapanda na kila...
Mtazamo wa mchora katuni wetu wakudata =AZb0b2kwq6qfFR1L8Ml945vGO-gWmGK31BsFvmowIXAdfk_GyHPrCqMpQsIeNXm9qYIf_q7r9xGJFF81EX7PCYTLMFxbYRJZqUKHbr36UR-I_RAmN6c4k9Kz-WLvbgn0vy8G07aqbB40l_vTI9V-YfFqk1WNRQRqPZ7R50W9iTZB1_pxpaJbGuZGAxav-h-PA-vsxzDozeGr6nDdmtKnFmAv&tn=-]K-R']Said Michael 'Wakudata' baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.