Mheshimiwa Waziri Muhusika wa Kilimo alifuatilie jambo hili ni Muhimu kwa ajili ya Afya za Wananchi wanaokula mboga za majani. Kwani Wakulima wanawamaliza walaji wa mboga za majani Kwa kutia sumu nyingi ndani ya mboga za majani.
:CatNerd:Anayetaka Vyumba vya kupangisha vipo kigamboni vijibweni chumba kimoja kina choo kwa ndani na chumba kingine hakina choo kwa ndani. Ukihitaji chumba wasiliana kwa namba 0745 811 786 au namba 0754 977 705. Mkuu Ninakuuliza Swali je kutengeneza choo cha ndani na kupiga plasta na rangi...
WOSIA WA BABA WA TAIFA HAYATI MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE
"...uwe na uwezo wa kuwaambia jamaa zako na marafiki zako, Ikulu ni mahali patakatifu......., mimi sikuchaguliwa na wananchi wa Watanzania kuja kupageuza kuwa pango la walanguzi.
Mimi Ninatabiri Rais Wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan atamchaguwa Mmojawapo kati ya hawa 4 Kuwa Makamu wake wa Rais.
1) Ridhwani Kikwete
2) Paul Makonda
3)Mwigulu Nchemba
4) Palamagamba Kabudi
Je unasemaje???? Toa maoni usilete Kashfa au matusi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.