Recent content by Herbalist Dr MziziMkavu

  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    Rais Samia: Serikali kufanya uchunguzi sababu halisi za mafuriko na kuchukua hatua

    Mafuriko Jangwani hayo....................
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Sababu ya maambukizi (infection) ya sikio kwa watoto

    MAAMBUKIZI au Infection ya masikio ni tatizo kubwa kwa watoto, sikio limejigawa sehemu kuu tatu ya ndani, nje na kati. Matatizo mara nyingi yanashambulia sehemu ya kati ya sikio (Otitis media) inashambulia watoto wachanga na watoto wadogo na nyingine ni sehemu ya ndani ya sikio (Otitis...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Bonde la Mkwajuni lafurika maji

    Serikali hili jambo imelifumbia macho halishughulikiwi kabisa Serikali ya CCM imelala usingizi mnono.............................
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    DOKEZO Nadai Tsh. Milioni 440 kwa Mkandarasi wa SGR. Naomba Serikali inisaidie, napigwa danadana tangu Desemba 2022

    Mkuu nenda kawashitaki Mahakamani na uweke Wakili apate kukutetea utapata haki yako kuliko kuja hapa kulalamika haupati kitu Waturuki huwajuwi watamaliza contract yao watakukimbia na kukuacha njia panda fanya upesi ukawashitaki kabla hawaja maliza mikataba yao ya ujenzi wa hiyo reli ya SGR.
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Hakuna kosa wala dhambi kumkumbuka Magufuli, aliiweza nchi, kwa sasa kuwa na uhakika wa mambo ya kesho, haijulikani

    MAGUFULI: HAKUNA KUZUIA WATU KUTOKA NDANI (LOCKDOWN) DAR WALA SEHEMU YOYOTE TANZANIA KWA SABABU YA CORONA 1. “Wapo wengine wanatoa mawazo ya kuifunga Dar es Salamaam hilo haliwezekani kwasababu karibu asilimia 80 ya ukusanyaji wa kodi kwa nchi yetu inapatikana Dar es salaam, tuendelee kuchukua...
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    UKIMWI upo ndugu zangu

    Mkuu mwambie anitafute mimi kwa wakati wake ili niweze kumtibia apate kupona maradhi yake ya ukimwi. Dr Sebi Tells How He Cures A.I.D.S
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mambo 17 yaliyosababisha kuuawa kwa Gadaffi

    MAMBO 17 YALIYOSABABISHA KUUAWA KWA GADAFFI 1. LIBYA kulikuwa hakuna bili ya umeme, means umeme ulikuwa bure kwa raia wote 2. Libya kulikuwa hakuna Riba kwenye mikopo, Benk zote Libya zilikuwa za Umma na mikopo ilitolewa kwa raia wote tena bila Riba. 3. Gadafi alisisitiza kwamba, wazazi wake...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

    Unabii wake ni feki huo...................haitokuwa hivyo....................
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    Tatizo la kichwa kuwa kizito sehemu ya nyuma na kuhisi kizunguzungu inaweza kuwa ni dalili ya changamoto gani?

    Kwa Wale Wenzangu Wanaumwa na Maradhi ya Kichwa Hebu jiangalie Jinsi Kichwa Chako kianavyo Uma. UKIUMWA NA MARADHI YA KICHWA KATIKATI YA UTOSI NI DALILI INAYO ONYESHA KUWA UNAHıTAJI UNYWE MAJI YA KUTOSHA NA CHAKULA. CHENYE AFYA. UKIUMWA NA KICHWA KWA MBELE UTOSINI INAONYESHA UNAHITAJI UPATE...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Jihadhari sana na Mke Wa Mtu Na Mume Wa MTu..... https://www.youtube.com/
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    President Erdogan welcomed President Hassan of Tanzania with an official ceremony

    President Erdogan and his Tanzanian counterpart Hassan speak at joint press conference. https://www.youtube.com/watch?v=vR0rpzzSyfE&ab_channel=HaberL%C3%BCtfen
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mtalii kutoka Marekani aichana makavu Tanzania kwenye Luninga

    Anasema ukweli hakuna Maendeleo Tanzania ipo kama Cambodia kimaendeleo bado tuko nyuma kwa kila kitu CCM haiendelezi nchi kwenda mbele V,ongozi wa CCM wanakula wao nchi inazidi kudidimia kimaendeleo hata mimi ninamuunga mkono huyu M-Marekani Mweusi.
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

    Tazama John pombe MAGUFULI alivyo jitabiria kifo chake. https://www.youtube.com/watch?v=GQT8fZL96J4&ab_channel=IlelatvOnline
Back
Top Bottom