Recent content by Herbalist Dr MziziMkavu

  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Trump kasema mwezi ni mali ya Marekani 🌘

    Huyu Mzee Trump ana matatizo ya akili ingelifaa apimwe akili zake Hospitalini.
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Picha: Jumapili ya Leo nikiwa kwenye Ibada

    Haya nimekuelewa nikikuhitaji nitakutafuta asante sana .
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Picha: Jumapili ya Leo nikiwa kwenye Ibada

    Choo kwa upande huu ndio kinatakiwa kiwepo icho choo. :CatNerd:
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Picha: Jumapili ya Leo nikiwa kwenye Ibada

    Kama hicho choo cha wastani tu. Ukubwa wa choo cha ndani kama hicho kwa upande wa pili angalia hizo picha.
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kwa Sasa Hivi Ukila Mboga Kama Umekula Sumu.Ninashauri Serikali iingilie kati kwa undani zaidi kuhusu suala hili

    Mheshimiwa Waziri Muhusika wa Kilimo alifuatilie jambo hili ni Muhimu kwa ajili ya Afya za Wananchi wanaokula mboga za majani. Kwani Wakulima wanawamaliza walaji wa mboga za majani Kwa kutia sumu nyingi ndani ya mboga za majani.
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Picha: Jumapili ya Leo nikiwa kwenye Ibada

    :CatNerd:Anayetaka Vyumba vya kupangisha vipo kigamboni vijibweni chumba kimoja kina choo kwa ndani na chumba kingine hakina choo kwa ndani. Ukihitaji chumba wasiliana kwa namba 0745 811 786 au namba 0754 977 705. Mkuu Ninakuuliza Swali je kutengeneza choo cha ndani na kupiga plasta na rangi...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI ZA KUCHUKUA UNAPOKWENDA KUOGELEA BWAWANI AU BAHARINI

    Hongera Sana Bujibuji simba Nyamaume kwa kuleta uzi mzuri sana.
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha kiapo kimemtetemesha Ndejembi Wakati akila kiapo cha Makamu wa Rais

    Osia Wa Baba wa Taifa Hayati Mwalim Nyerere.
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha kiapo kimemtetemesha Ndejembi Wakati akila kiapo cha Makamu wa Rais

    Hiki Kitabu chekundu ni Hatari sana kukishika.
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Ndejembi ukakue, sio mwili ila akili, usiwe Samaki

    WOSIA WA BABA WA TAIFA HAYATI MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE "...uwe na uwezo wa kuwaambia jamaa zako na marafiki zako, Ikulu ni mahali patakatifu......., mimi sikuchaguliwa na wananchi wa Watanzania kuja kupageuza kuwa pango la walanguzi.
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Baada ya kuripotiwa kujiuzulu kwa Makamu wa Rais wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, gumzo linaloibuka hivi sasa, ni nani atakayechukua nafasi hiyo?
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Mimi Ninatabiri Rais Wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan atamchaguwa Mmojawapo kati ya hawa 4 Kuwa Makamu wake wa Rais. 1) Ridhwani Kikwete 2) Paul Makonda 3)Mwigulu Nchemba 4) Palamagamba Kabudi Je unasemaje???? Toa maoni usilete Kashfa au matusi.
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ingelikuwa ni wewe ungemfanya kitu gani huyu mbwa?

Back
Top Bottom