Recent content by Herbalist Dr MziziMkavu

  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Picha Yangu ya Leo Unaionaje?

    Wakati Wakenya wakiendelea kuishiikiza serikali kupunguza bei ya mafuta kwa kufanya maandamano makubwa, hivi ndivyo mchora katuni wetu Meddy Jumanne anatathimini kadhia hiyo. Wewe umeona nini? Tuambie kwenye komenti. chanzo.DW Kiswahili
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ibrahim Traoré: Sitaki Polisi Watembee na Bunduki Nchini kwangu, Wananchi Hawapaswi kuishi Kwa Uoga Rais Ibrahim Traore

    Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré, ameendelea kusisitiza umuhimu wa amani na mshikamano kati ya vyombo vya dola na wananchi, kwa kueleza kuwa hataki polisi wake kutumia vitisho kwa raia wala kutembea na bunduki kwa namna inayoweza kuleta hofu kwa wananchi. Traoré amesema lengo lake ni kuona...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Tume imepokea ushahidi toka kwa Watu 63,603

    Jicho la Saidi Micahel kuhusu kauli ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan baada ya kupokea Ripoti ya matukio ya Oktoba 29...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanauawa kwa risasi South Africa (Sauzi). Nini kiko nyuma ya pazia?

    Kuna video moja nimekutana nayo mtandaoni kutoka NYUNDO TV inayozungumzia suala zito sana na la kusikitisha ambalo limekuwa likitokea hivi karibuni kwa ndugu zetu walioko Diaspora. Video hiyo imebeba maudhui: "Kwa nini watanzania wengi kufa kwa kupigwa risasi South Afrika siri hii hapa." Kama...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mwandishi wa habari wa Ufaransa Catherine Perez Shakdam, jasusi hatari zaidi wa Mossad aliyefanikiwa kupenya ndani ya Iran na kutoa tarifa Muhimu

    MAKALA HII IMELETWA KWENU NA DUNIA INA MAMBO. Pichani ni mwandishi wa habari wa Ufaransa Catherine Perez Shakdam, anayetajwa kuwa jasusi hatari zaidi wa Mossad aliyefanikiwa kupenya ndani ya Iran na kutoa taarifa zilizoishangaza Iran na dunia nzima Catherine mzaliwa wa Ufaransa mtoto wa wazazi...
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Tanzania na Marekani Wasaini Makubaliano ya Ushirika wa Kijeshi

    Wadanganyika mumemkubali Mfanya Biashara mkubwa duniani aka Mr Trump alete jeshi lake hpo Bongo?Subirini madevu atakavyo wafanya. atawarushieni Makombora ya masafa marefu kutoka kwake mpaka hapo jijini Dar kazi kwenu. Uarabuni kunawaka moto itakuwa nyinyi hamna kinga yoyote ile.
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ipe neno picha yangu ya leo asubuhi

    Mtego waPanya huo.................... UTANI KIDOGO! KIM JOUNG UN Ameweka Bendera Ya IRAN Korea Kaskazini Ili TRUMP Afikirie Kuwa Ni Iran. apate Kuipiga Korea ya Kaskazini.......
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Jerusalem leo yageuka kama Gaza, Makombora toka Iran yameshushwa kama mvua 30 Km za Maraba zimeharibiwa vibaya sana

    Jerusalem today looks like Gaza .. IsraHELL you get what you deserve
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Video: Wanaume wa Dar wanachamba asee. Huu mkoa kwa upande wa wanaume tumeshasema una uwalakini mkubwa

    Huyu ninahisi atakuwa shoga homesexual aka Gay mwanamume kamili hawezi kusema maneno kama hayo anayoyasema huyu kijana.Atakuwa ni choko huyu kijana.
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mhitaji wa chumba/nyumba/maeneo ya kuanzia Mbuyuni hadi Tegeta

    Mwenye kuhitaji chumba cha kupangisha maeneo ya Vijibweni kigamboni mjini Dares-Salaam awasiliane na namba ya simu 0658 217 288
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: The US aircraft carrier USS Abraham Lincoln has been hit by four ballistic missiles

    The US aircraft carrier USS Abraham Lincoln has been hit by four ballistic missiles.
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Muhammad na ukopaji wa maneno ya kiyahudi bila kufahamu maana zake: Chanzo cha contradictions ndani ya uislamu

    Huna mpya wewe hata huyo aliyekufundisha aisome Quran mara 1000hataielewa kwa tafsiri zako za pumba kama unavyotafsiri wewe Quran hutawezakui chalenge Kitabu cha Allah.Wameshindwa Ma-Professa ulimwenguni itakuwa wewe usiyejuwa kitu?chukuwa hadithi uikosoe Quran kwani Quran ni maneno ayaAllah...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mtakumbuka huu UJUMBE , tunaelekea Tanzania kuwa kama ZIMBABWE.Ameandika Mheshimiwa Godbless Lema

    Mjibebe tena Wa-Tanganyika mufunge mikanda mukabiliane na hali ya uchumi kuwa ni mbaya. Na nchi Ma-Taifa ya Ulaya magharibi yamewasusia misaada yao hawatatoa tena kwenu Wa-Tanganyika.Mufunge mikanda kukabiliana na haili mbaya ya kiuchıumi mifumuko ya bei vitu kupanda na kodi itapanda na kila...
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mtakumbuka huu UJUMBE , tunaelekea Tanzania kuwa kama ZIMBABWE.Ameandika Mheshimiwa Godbless Lema

    Mtazamo wa mchora katuni wetu wakudata =AZb0b2kwq6qfFR1L8Ml945vGO-gWmGK31BsFvmowIXAdfk_GyHPrCqMpQsIeNXm9qYIf_q7r9xGJFF81EX7PCYTLMFxbYRJZqUKHbr36UR-I_RAmN6c4k9Kz-WLvbgn0vy8G07aqbB40l_vTI9V-YfFqk1WNRQRqPZ7R50W9iTZB1_pxpaJbGuZGAxav-h-PA-vsxzDozeGr6nDdmtKnFmAv&tn=-]K-R']Said Michael 'Wakudata' baada...
Back
Top Bottom