Recent content by HENRY14

  1. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sasa hapa kawaite wazee wa viingereza vingi kule jukwaa la Livakuku waje kuwatasfiria hawa Chelkenge hili bandiko.
  2. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ndiyo zetu hizo. Japo pia napenda kuona Raya anadaka na kuanzisha counter kali kwa kurusha au kupiga mpira mbele, uchukuliwe na mchezaji mmoja afunge au atoe assist kwa mchezaji mwingine. Kuna mfano mmoja game ya Crystal Palace...yaani Raya - Jesus - Trossard...bao.
  3. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Si amesema '...will never leave us alone" yaani hatuachii? Na hapo si Kai ametoka kuwafunda Chelkenge? Pia jina lake lina "CFC" mwanzoni akimaanisha "Chelkenge Football Charity". Mashabiki lia lia wa Chelkenge huwa wanapenda kuweka "CFC" kwenye usernames zao ili dunia nzima iwatambue kama...
  4. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ile move ingekubali, kuanzia mechi ijayo timu zingeanza kuweka wachezaji 11 wote ndani ya box lao.
  5. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Na msimu huu hatutaki kufunga kwa kona wala penalty. Tukizipata tunajikosesha makusudi. Lengo ni kila mtu achapwe kwa open play. Nadhani Castr alisema msimu huu Arteta anafikiria kuwaachia wachezaji waonyeshe mbwembwe zao zaidi ili gemu linoge haswa kwenye maeneo ya box la mpinzani...
  6. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mimi nilikuwa najiuliza "huyu refa mbona anawabania sana kadi wachezaji wa Chelkenge? Au mpaka wanunue?" Kumbe na wewe ulikuwa unaona faulo za Arsenal? Kuikweli mimi nilikuwa naona sisi tunacheza fair kabisa ila nyie mlikuwa mnacheza rafu.
  7. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sijui kwa nini jana tuliwahurumia vile. Tulitakiwa tuwapige mkono au zaidi mpaka Rogers ajute kwa nini amekubali kushawishwa kwa mihela ya Tajiri Miluzi badala ya kujiunga na wababe wa ligi.
  8. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Kwa wapenzi wa Reacher: Hii ni season 1 ep. 08 pichani ni Lee Child, mtunzi wa vitabu vya Jack Reacher, akikutana kidogo na tunda la ubunifu wake, Reacher.
  9. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    😀😀😀 mwache Ally atoe tamko la matokeo bwana. Jamaa ana bahati sana 😀😀
  10. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hapa sioni wa level yenu mnayemmudu. Labda kidoogo huyo Saba sijui nane. Ila wengine wote watawachapa kinoma na mtashika mkia kundi lenu.
  11. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Siyo chuki. Mimi huwa niko upande wenu ila sitakagi kabisa kuwaona top 4 wala hata top 10. Mimi nataka mmalize nafasi ya 17 na negative goal difference. Sitaki tu mshuke daraja. Ningekuwa na chuki si ningetaka mshushwe kabisa daraja?
  12. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wala usiwe na shaka. Fulham atawapiga 3-0 au 4-0 na nyie mtakuwa chini ya Manyumbu.
  13. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Labda kama waandishi wa series waamue kuchakachua mambo kupindukia, ila Vincenzo Jr atasubiri sana :D :D :D .Inasemekana Neagley ni asexual so hana hisia wala hamu ya kufanya hayo mambo kabisa :D:D:D. Ila Reacher huwa hawaachii warembo. Kuna wale wanaofanya naye kazi ambao anajikutaga tu...
  14. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwa hiyo ndoto yenu ya kuwa Invincibles kama sisi 2004 imekatishwa leo leo tu?..
  15. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mambo yakienda vizuri kama msimu jana tutakuwa na mechi nyingi sana. Wachezaji watachoka na watakuwa wanaumia umia...
Back
Top Bottom