Kuna yule mpuuzi Chesko ngongoti alituzungusha miaka miwili halafu akaenda unyumbuni baada ya sisi kuchukua Jokeri. Nadhani na Jamie Gittens ameenda Chelkenge na Isak anataka kwenda LiVARKuku mpaka amegoma kufanya mazoezi kwa wale mijuisi ila kwa asilimia kubwa ulimwengu wa soka umekubali...
Hutamuona mpaka tufungwe.
Pia ni faraja sana kukuona huku mkuu, bwana Castr.
Eze sasa amewasili na kuna bwana mdogo wakuitwa Hincapié anakuja kusidia overloading ya Left Wing ili Eze awe anaingia kwa ndani. Aiseee...the league ain't ready...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.