Recent content by HENRY14

  1. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Merino aliwasaidia sana Spain na magoli yake ya ushindi.
  2. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ni mzuri ndiyo maana hata sisi tulikuwa tunataka aje kwetu. Mmefanikiwa kutunyang'anya tonge mdomoni. Sasa endelezeni pia tabia yenu ya kututupia wachezaji wenu wabovu kama kina Kai, Noni na Jorginho. Sasa tupeni Malo Gusto na Estevao. Hata Caicedo na Enzo ni wabovu mnaweza kutupa hao...
  3. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hakumsikia kuwa sisi tunamipango ya kumsajili Rogers? Au mlisikia na bado mkaamua kutuzidi dau? Naona bado hamtaki kuacha tabia ya kuingilia dili zetu. Hongereni lakini. Rogers ni mchezaji mzuri.
  4. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wanaitwa 'finishers' kikwetu.
  5. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huyu Lisa Baum tuseme tu ni Mbongo japo anaiwakilisha Germany. Sasa na sisi tunamchezaji wa kibongo Arsenal Women.
  6. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Siyo muhimu, ila David Raya, Martin Zubimendi na Mikel Merino ni raia wa Spain. Wakikosa gold basi silver wanayo.
  7. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Na msimu ujao bado Arsenal tutabeba ubingwa. Mbona hatuna Caicedo, hatuna Fernandes, hatuna Isak na bado sisi ndio mabingwa wa sasa? Tumebeba kombe na kina Martinelli na akina Trossard na akina Ben White huko.
  8. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Simon ndiye kocha anampenda na kuona anafaa mfumo wa timu ya taifa. Hata ikiwa Raya akimzidi kidogo kiuwezo, si kiasi cha kutosha kumfanya kocha abadilishe kipa anayemuona anafaa mfumo wake.
  9. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Daaah. Unamuandama mpaka WC hata kama anatoka nchi moja na Joao Pedro? 😁😁😁
  10. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    We jamaa huchezeagi kabisa fursa za kufanya unafiki na uchochezi 😁😁😁
  11. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Shida ni habari ya mjini ni ubingwa wa Arsenal lakini mna chuki na sisi so hamtaki kutujadili. Habari ingine ya mjini ni kwamba hali yenu ya kiuchumi ni mbaya kinoma. Hilo pia hamuwezi kulijadili. Sasa hakuna kingine cha kuongea humu.
  12. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    https://www.washingtonpost.com/lifestyle/2026/06/09/arsenals-soccer-socks-find-new-purpose-with-rescued-horses-donkeys/
  13. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Aah wapi. Hapo tumepata mshiko wa kutosha kumchukua Kvaratskhelia 😁😁😁. Yaani tusingezingua jumamosi tukabeba kombe, hata sitaki kufikiria dunia ingekuwaje aisee.
  14. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nimesikiliza dakika 10 tu mpaka sasa...ila hali yenu ni mbaya mno . Boehly amechezea sana pesa za wawekezaji na hakuna faida yoyote mliyopata bali hasara ya pauni milioni 355.:oops::oops::eek: Nategemea ndani ya misimu miwili mtakuwa mnacheza championsihip... Tuanze kuagana mapema tu...
  15. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    TUKO PAMOJA NA BIG GABI 💪💪💪💪
Back
Top Bottom