Recent content by HENRY14

  1. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ningependa kumbakiza Martinelli niwauze Havertz au hata Gyokeres na Trossard ikibidi ndiyo aje Rojers. Nampenda Trossard ila naona Martinelli abaki kwa sababu ya umri wake na kiwango hayupo nyuma sana ya Trossard hivyo anaweza kumfukia kiwango chake na hata kumpita akikomaa, msimu ujao au ndani...
  2. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Umesahau madhara ya kina Captain Marvelous na Saint Anne na kocha wao bingwa ambaye sasa wanamwita Kichwa Mviringo jinsi wenge la kuwa na pesa lilivyowaponza wakaanza kununua wachezaji wa bei mbaya wakawajaza pale bandani mwao? Yaani walikuwa kama mfanyakazi mlevi akishashika mshahara. Breki...
  3. HENRY14

    JamiiForums Tanzania The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Kuna tetesi kuwa zile 115 charges dhidi yenu zinaelekea kufika mahala pabaya kwenu na huenda niyo sababu Pep kakimbia ligi mwaka mmoja mapema kabla ya mkataba wake kuisha. Mnaweza kukatwa points 60 msimu ujao, kuzuiwa kushiriki transfers kwa miaka miwili, labda na faini kali juu. Hii inamaana...
  4. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    MID-TABLE MANDEM https://www.youtube.com/shorts/Fv8bDZqVf10
  5. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Yuko sahihi. Bruno ananikumbusha sisi enzi zetu tuna Fabregas halafu washambuliaji wetu ni kina Adebayor. Bonge la mido ila mastraika wa nafasi kumi goli moja.
  6. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Bei mbaya kinoma na kina ManU nao watataka kutoa 100m. Nataka tusubiri kombe la dunia tucheki viSouth Americans vipambanaji mifano kama ya Alexis Sanchez na Cavani enzi wakiwa wamoto tuvichukue kwa bei za kishikaji zaidi.
  7. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii ni AI hii, sisi huwa ndiyo tunaadhibiwa na VAR kuliko timu yoyote, ila msimu huu tumetendewa haki kidogo zaidi ya misimu iliyopita. Pia ni kwamba tu ile moja ya West Ham kumkwida kipa wetu imetusaidia kupata ushindi badala ya sare na hatimae tukapata ubingwa, na hata hivyo uamuzi ule ulikuwa...
  8. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Tukikosa UCL msimu huu tutalazimika kupambana sana msimu ujao. Acha tu tuwapige hawa PSG fainali hii ili tupumue kidogo kama jinsi kubeba hiki ki Premier League trophy kilivyotusaidia kupumua kidogo. Sasa msimu ujao tutacheza bila presha.
  9. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Je, msimu ujao mtaweza kununua wachezaji wa bei mbaya au mtabana matumizi? Najua mlitumia pesa nyingi kununua wachezaji wapya msimu huu lakini mlipata nyingi pia kwenye mauzo ya wachezaji wengine? Au pesa za UCL msimu huu pamoja na kumaliza nafasi za kuingia UCL msimu ujao zitawatosha...
  10. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Sasa kazi kwenu kutumia vipaji vyenu vya Photoshop na AI kubadilisha jezi na sura na kupachika zinazofaa zaidi.
  11. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Aisee, acha kabisa. Tukibeba UEFA, viwanda vyote, baa zote na vibanda vyote vya maji ya kienyeji havitatutosha wanaGunners. Mashamba yote ya mmea takatifu hayatutosha wanaGunners.
  12. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hilo suala limebaki stori kama Rich Mavoko. Kwenda mbele ni mwendo wa kukusanya mataji kama zambarau vile.
  13. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hapo sasa Pep ndiyo atapata muda wa kutosha kushinda nyumbani na wife na watoto?
  14. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    False hopers aka bottlers aka Arsenyau aka sijui nini na nini. Majina mengi walituita ila ArsenalNdoo au Asendooo wanatubania kutuita. Kina Labyrinth 84 na Flano waje basi watuite Asendoo wafurahi.
  15. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kingine kizuri ni Arteta kumwahi Pep na kumshinda kabla hajakimbia ligi. Ameweza kumaliza juu ya Pep misimu miwili mfululizo. Ni kitu cha kujivunia maana yeye amepambana kwa muda mrefu kwa kuunda kikosi chake bora kilochopitia mengi njiani mpaka kufika nchi ya ahadi.
Back
Top Bottom