Recent content by HENRY14

  1. HENRY14

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mimi bahati nzuri huwa tukifungwa hiyo wiki pia ndiyo kazini nakuwa busy kinyama yaani mara 2 zaidi ya kawaida.
  2. HENRY14

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Huyo Isak mmepigwa mzee. Kesho kutwa tu anaenda kulala sick bay kwa nusu msimu. Hamtaenda popote na huyo Isak.
  3. HENRY14

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Poa tu bro. Next season tunazitaka hizi points.
  4. HENRY14

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ile freekick ilikuwa kali. Tunatakiwa kuanza kupenda kushoot tukiwa kwenye box au maeneo ya karibu na box.
  5. HENRY14

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hongereni aisee. Bonge la freekick.
  6. HENRY14

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kumbe FA walianza kutupiga vita kitambo tu. Watesi wetu hawa walipiga pini dili letu la kumleta Diego Maradona Highbury kutoka Boca Juniors.
  7. HENRY14

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Leo tunataka points zetu tatu tu wazee. Mambo yasiwe mengi.
  8. HENRY14

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Allypipi aliniangusha sana jana.
  9. HENRY14

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Saa zingine wakiwafunga wengine inatosha.
  10. HENRY14

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nimemuona YouTube tu ila naona ni mtu na nusu yule. Atawaweka kina Calafiori benchi.
  11. HENRY14

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    😀😀😀😀😀 hilo tutamuita akituudhi sana. Mfano akishindwa kuifunga LiVARkuku na Chelkenge game iishe 1-1.
  12. HENRY14

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna yule mpuuzi Chesko ngongoti alituzungusha miaka miwili halafu akaenda unyumbuni baada ya sisi kuchukua Jokeri. Nadhani na Jamie Gittens ameenda Chelkenge na Isak anataka kwenda LiVARKuku mpaka amegoma kufanya mazoezi kwa wale mijuisi ila kwa asilimia kubwa ulimwengu wa soka umekubali...
  13. HENRY14

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hutamuona mpaka tufungwe. Pia ni faraja sana kukuona huku mkuu, bwana Castr. Eze sasa amewasili na kuna bwana mdogo wakuitwa Hincapié anakuja kusidia overloading ya Left Wing ili Eze awe anaingia kwa ndani. Aiseee...the league ain't ready...
  14. HENRY14

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Eti hata Burnley wanawapigia pira biriani, pira juisi ya miwa, pira chips kuku, yaani pira amazing :D :D
  15. HENRY14

    Series (Special thread)

    Thanks mkuu. Nitakucheck inbox nikifanikiwa.
Back
Top Bottom