Ndiyo zetu hizo. Japo pia napenda kuona Raya anadaka na kuanzisha counter kali kwa kurusha au kupiga mpira mbele, uchukuliwe na mchezaji mmoja afunge au atoe assist kwa mchezaji mwingine. Kuna mfano mmoja game ya Crystal Palace...yaani Raya - Jesus - Trossard...bao.
Si amesema '...will never leave us alone" yaani hatuachii? Na hapo si Kai ametoka kuwafunda Chelkenge? Pia jina lake lina "CFC" mwanzoni akimaanisha "Chelkenge Football Charity". Mashabiki lia lia wa Chelkenge huwa wanapenda kuweka "CFC" kwenye usernames zao ili dunia nzima iwatambue kama...
Na msimu huu hatutaki kufunga kwa kona wala penalty. Tukizipata tunajikosesha makusudi. Lengo ni kila mtu achapwe kwa open play.
Nadhani Castr alisema msimu huu Arteta anafikiria kuwaachia wachezaji waonyeshe mbwembwe zao zaidi ili gemu linoge haswa kwenye maeneo ya box la mpinzani...
Mimi nilikuwa najiuliza "huyu refa mbona anawabania sana kadi wachezaji wa Chelkenge? Au mpaka wanunue?"
Kumbe na wewe ulikuwa unaona faulo za Arsenal? Kuikweli mimi nilikuwa naona sisi tunacheza fair kabisa ila nyie mlikuwa mnacheza rafu.
Sijui kwa nini jana tuliwahurumia vile.
Tulitakiwa tuwapige mkono au zaidi mpaka Rogers ajute kwa nini amekubali kushawishwa kwa mihela ya Tajiri Miluzi badala ya kujiunga na wababe wa ligi.
Kwa wapenzi wa Reacher:
Hii ni season 1 ep. 08 pichani ni Lee Child, mtunzi wa vitabu vya Jack Reacher, akikutana kidogo na tunda la ubunifu wake, Reacher.
Siyo chuki. Mimi huwa niko upande wenu ila sitakagi kabisa kuwaona top 4 wala hata top 10. Mimi nataka mmalize nafasi ya 17 na negative goal difference. Sitaki tu mshuke daraja. Ningekuwa na chuki si ningetaka mshushwe kabisa daraja?
Labda kama waandishi wa series waamue kuchakachua mambo kupindukia, ila Vincenzo Jr atasubiri sana :D :D :D .Inasemekana Neagley ni asexual so hana hisia wala hamu ya kufanya hayo mambo kabisa :D:D:D.
Ila Reacher huwa hawaachii warembo. Kuna wale wanaofanya naye kazi ambao anajikutaga tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.