Recent content by HENRY14

  1. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    😁😁😁😁 Sisi ndio mabingwa. Uzi wowote ule wa Jamii Sports kwa sasa ni mali yetu 😁😁😁 Natania tu. Nilipitiwa tu nikasahau kuwa nilianza kumjibu Hamis77 kwenye uzi huu.
  2. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hakuna namba nzuri kibiashara nyingine inayopendwa na mashabiki iliyobaki kwa Arsenal. 7, 8, 10, 11, 14, 17....zote zina watu. Nafikiri 19 ndiyo iliyobakia.
  3. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

  4. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    19 ya Trossard?
  5. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Au atavaa 11 kama Martinelli ataondoka
  6. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Vini Jr. hataleta mambo ya kutaka kuvaa namba 7 mgongoni ambayo kwa sasa anaivaa Saka?
  7. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Merino aliwasaidia sana Spain na magoli yake ya ushindi.
  8. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ni mzuri ndiyo maana hata sisi tulikuwa tunataka aje kwetu. Mmefanikiwa kutunyang'anya tonge mdomoni. Sasa endelezeni pia tabia yenu ya kututupia wachezaji wenu wabovu kama kina Kai, Noni na Jorginho. Sasa tupeni Malo Gusto na Estevao. Hata Caicedo na Enzo ni wabovu mnaweza kutupa hao...
  9. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hakumsikia kuwa sisi tunamipango ya kumsajili Rogers? Au mlisikia na bado mkaamua kutuzidi dau? Naona bado hamtaki kuacha tabia ya kuingilia dili zetu. Hongereni lakini. Rogers ni mchezaji mzuri.
  10. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wanaitwa 'finishers' kikwetu.
  11. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huyu Lisa Baum tuseme tu ni Mbongo japo anaiwakilisha Germany. Sasa na sisi tunamchezaji wa kibongo Arsenal Women.
  12. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Siyo muhimu, ila David Raya, Martin Zubimendi na Mikel Merino ni raia wa Spain. Wakikosa gold basi silver wanayo.
  13. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Na msimu ujao bado Arsenal tutabeba ubingwa. Mbona hatuna Caicedo, hatuna Fernandes, hatuna Isak na bado sisi ndio mabingwa wa sasa? Tumebeba kombe na kina Martinelli na akina Trossard na akina Ben White huko.
  14. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Simon ndiye kocha anampenda na kuona anafaa mfumo wa timu ya taifa. Hata ikiwa Raya akimzidi kidogo kiuwezo, si kiasi cha kutosha kumfanya kocha abadilishe kipa anayemuona anafaa mfumo wake.
  15. HENRY14

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Daaah. Unamuandama mpaka WC hata kama anatoka nchi moja na Joao Pedro? 😁😁😁
Back
Top Bottom