CHASO wakati mwingine ni ubabaishaji MTUPU hasa ud maana hata viongozi hawajipambanui wazi ila najua wanaogopa nini SIASA vyuo vikuu ni kupoteza FUTURE hasa wakati huu wa serikali korofiii wako wapi akina al shabab na wenzake
Nasema Hivi siku mh Zitto akitangaza kukihama chadema kwa kufukuzwa au kwa lolote CCM Itafanya SHEREHE KUBWA hadharani,, sitaki kuamini kama zitto anaweza kuondoka chadema.....ILA KIONGOZI WA WASALITI NI LAZIMA ASALITIWE VIKALI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.