Magamba hilo si la kuuliza Zitto dhahiri shahiri katumwa na maccm,kamati kuu inakaa lini ili itutolee uchafu huo?
Cku kumia na nne bado kabisa...
Magamba hilo si la kuuliza Zitto dhahiri shahiri katumwa na maccm,kamati kuu inakaa lini ili itutolee uchafu huo?
gazeti la MAWIO LA TAREHE 26/12/2013 limewaweka wazi wafandhili na wawezeshaji akiwemo MAXENCE MELO wa jamii forum
am now looking for a gun better akifika Tabora nimsnap...mtu anayesaliti mapambano ya haki ni bora awawe tuu,anatusaliti vijana.huyu gobore tu napasua ile kichwa najua watanitafuta ila na mimi lazima nijiue ili litimie lile neno nililojipangia na awache kucheza na wasukuma lazima tumfanyie alichofanyiwa mabina
Watakao wanamghalamia zito kwenye mikutano yake ni akina mwigulu nchemba na nchimbi,wao wanataka kutimiza lengo lao kwa njia hiyo wakidhani watafanikiwa kuibomoa chadema la hasha hawawezi cdm itazidi kusonga mbele.
Hili swali hata mimi najiuliza sana. Kama kwa hakika Zitto anaendesha mikutano hii yote kwa pesa zake za mfukoni, basi ni dhahiri kwamba anahongwa na CCM. Kwa hali ilivyo ndani ya chama hivi sasa, si rahisi kwamba wenyeviti wa CHADEMA wa mikoa au wa wilaya wanajishughulisha na uandaaji wa mikutano yake. Sasa ni nani anayeandaa? Ni nani anayegharimia matangazo, maturubai na majukwaa ya mikutano? Kuna walakini mwingi sana katika yale anayofanya Zitto hivi sasa. Kwa namna moja yanaonyesha ushahidi kwamba huyu si mwenzetu anatumiwa na kikundi fulani chenye nia ovu kwa CHADEMA.
Habari za Kuaminika zinasema, Bw Sabodo ndie anayegharamikia hii mikutano ya Mhe Zitto, Inasemekana amempa TS150,000'000/-, Bw. Sabodo amekasirshwa sana na namna viongozi ndani ya Chadema walivyo zitumia vibaya mamilion ya pesa alizozitoa kwa ajili ya kuwachimbia visima wananchi na kuimarisha Democracy ndani ya chadema. Pia anataka haki itendeke kisiasa ndani ya chadema, na pia acountability ufanyike kuhusu matumizi ya pesa za misaada inayotolewa na kupewa chadema.
Pia kuna habari ya kuwa Social Democratic ya Ujerumani nayo imempa msaada, Of course na wale wengi ambao wanaipenda Chadema na ambao hawakubaliani na uonevu na ufujaji sheria unaondeshwa na Familia ya Mtei na Masalia wa kutoka karatu. ALL ROADS LEADS TO IKULU
Habari za Kuaminika zinasema, Bw Sabodo ndie anayegharamikia hii mikutano ya Mhe Zitto, Inasemekana amempa TS150,000'000/-, Bw. Sabodo amekasirshwa sana na namna viongozi ndani ya Chadema walivyo zitumia vibaya mamilion ya pesa alizozitoa kwa ajili ya kuwachimbia visima wananchi na kuimarisha Democracy ndani ya chadema. Pia anataka haki itendeke kisiasa ndani ya chadema, na pia acountability ufanyike kuhusu matumizi ya pesa za misaada inayotolewa na kupewa chadema.
Pia kuna habari ya kuwa Social Democratic ya Ujerumani nayo imempa msaada, Of course na wale wengi ambao wanaipenda Chadema na ambao hawakubaliani na uonevu na ufujaji sheria unaondeshwa na Familia ya Mtei na Masalia wa kutoka karatu. ALL ROADS LEADS TO IKULU
Nilishasema chadema ni klabu ya mpira sio chama kila mchezaji na washabiki wake; zzk anagharamiwa na washabiki wake na mzee wa matamko anagharamiwa na wakwake wala hamna la kushangaa hapo.Wana Jf.Naomba kuleta swali la kutaka ufahamu tu. Hivi najiuliza ni nani anayeghalamia mikutano ya Zitto kabwe inayoendelea. Je ni yeye mwenyewe au chama. Lakini najua pia kuna ziara ya kkatibu mkuu Jembe Slaa naye yuko kwenye ziara.nahisi hii ya Slaa inagharamiwa na chama lakini kama na yakabwe inaghakamiwa na chama kwa nini wasiungane pamoja kwenye safari moja?najua pia kabwe yuko kwenye mgogoro na uongozi wa chama chake.amepata wapi kibali cha kuendesha mikutano?je chama kimeridhia?je anaosema kwenye mikutano hiyo ni kauli za chama au za kwake? Tunatofautishaje kauli zake binafsi na zile za chama?
Someni MAWIO la leo 26 December na muunganishe dots,kila kitu kiko uchi,ila Zitto ana roho ngumu au tuite ujeuri??!! Sioni hata chembe ya elimu yake katika utetezi wake na hata mbinu sana sana anazidi kujianika na kuaibika!! Sishangai akifukuzwa CHADEMA kwani anasitahili,sitashangaa akienda CCM ingawa itabidi apitie NCCR kwanza kwa mwenyekiti ambae ni mbunge maalumu wa CCM- Mbatia kwani anasitahili kuwa huko na ana deni kwani watu walishachumbia harakati zake!!!
Wana Jf.Naomba kuleta swali la kutaka ufahamu tu. Hivi najiuliza ni nani anayeghalamia mikutano ya Zitto kabwe inayoendelea. Je ni yeye mwenyewe au chama. Lakini najua pia kuna ziara ya kkatibu mkuu Jembe Slaa naye yuko kwenye ziara.nahisi hii ya Slaa inagharamiwa na chama lakini kama na yakabwe inaghakamiwa na chama kwa nini wasiungane pamoja kwenye safari moja?najua pia kabwe yuko kwenye mgogoro na uongozi wa chama chake.amepata wapi kibali cha kuendesha mikutano?je chama kimeridhia?je anaosema kwenye mikutano hiyo ni kauli za chama au za kwake? Tunatofautishaje kauli zake binafsi na zile za chama?
Mkutano wa Zitto na Dr Kitila Mkumbo na waandishi wa habari walioandaa ni masalia waliotimuliwa CDM kwa usaliti kina Mwampamba na mchange.
hao wazalendo ni wepi? Kutoka chadema ama ccm? Kivip?
Anachofanya Zitto Ni sawa na KICK OF A DYING HORSE....
Mimi binafsi nailaumu kamati kuu ya CDM kwa kuwa DHAIFU kupita kiasi na kufanya chama kinadhalilishwa na mtu mmoja. The sooner they fire him the better