Pia vigezo vya rangi vizingatiwe,,, nimegundua humu rangi ni maji ya kunde, brown na nyeupe ndio zinazopata nafasi.
kila anayetaka mpenzi amekuwa akiweka hizo rangi,, hii inasababisha watu kujichubua and i think huu ni ubaguzi wa rangi,,
Swala la rangi musilipe kipaumble sisi weusi...