Habarini wataalamu,
Naomba ushauri kati hizo mbili gari ipi ipo vizuri katika vipengele vifuatavyo:
1. Uimara wa bodi
2. Gharama za spare zake.
3. Inaweza kwenda safari ya km 600 (mara moja kwa mwezi - sio kila siku).
Naomba kufahamu mchanganuo wa Biashara ya Tigopesa kwa Kusajili Laini yangu Mwenyewe.
1. Gharama za Usajili
2. Vitu ninavyotakiwa kuwa navyo ili kusajili
3. Ufafanuzi kidogo juu ya malipo ya kamisheni yakuwaje (mfano ni asilimia ngapi ya muamala nk)
Natanguliza Shukrani.
NB: Sihitaji kununua...
Habari za muda huu wadau, Naomba mwenye kujua printer nzuri inayoweza kuprint labels (lebo) ndogondogo za kwenye bidhaa kama mafuta, ubuyu, unga wa lishe
Habari wadau wa Elimu.
Naomba kufahamishwa ile Leaving Certificate unayopatiwa baada ya kuhitimu kidato cha nne au cha sita.
Ina kazi tena baada ya kuwa umeshapata na vyeti halisi vya kuhitimu?
Yaani bado Leaving Certificate zitakuwa zinatumika hata kama na cheti cha NECTA unacho?
Mimi nilikutana na tatizo kama hilo, nikawasiliana nao Vodacom kupitia WhatsApp, nikawaeleza na kuwatumia details zangu ndani ya masaa 72 tatizo likaisha sasa hivi naendelea kuitumia kama kawaida.
Nakushauri Wasiliana nao Vodacom kwa njia ya WhatsApp uwatumie details.
Angalia fursa/hitaji lililopo katika eneo ulipo.
Kwa mtaji wa Tsh 150,000 unaweza
1. Kuanzisha Genge la Matunda na MbogaMboga
2. Kuchoma mahindi ukipata site nzuri
3. Kuuza vyombo mitaani kama ni mtu usiye na aibu.
4. Kuuza vitu vidogovidogo kama vile nguo za Mitumba mitaani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.