Huku Mkoa wa Mwanza na wilaya zote yaani Sengerema, Geita, Magu, Kwimba n.k kote hakuna umeme leo ni siku ya TANO. Meneja wa mkoa wa Tanesco amesema waulizeni Serikali, megawati zimebaki 4 tu toka 46 zilizokuwa zinahitajika, hivyo ameona bora azigawe kwenye Hosptali ya Bugando na Seketoure.