Kuagiza Takukuru ichunguze na baadae kumsafisha Jairo na ikiwezekana hata waziri wakeNi maagizo gani mapya hayo ambayo Pinda hayasemi, halafu kulifanyia kazi maana yake ndio nini na nani analifanyia kazi????
Yaleyale msingenishikilia angenitambua, Pinda ni msanii wa kimataifa anataka tumuone mchapakazi wakati hana lolote mbona rais akiwepo hatujaona ushauri wake.naamini pinda anafedheeka sana moyoni na kuona Rais ni lege lege.maana kwa kauli yake ya juzi ni kwa huyu jairo angekuwa hana kazi lakini kwa kuwa syndicate nzima inamhusisha rais basi lazima afanye manuva ili a spin issue nzima.......na inavyoonekan hapa ni kuwa huyu jamaa(jairo) anaweza kusave
Ni maagizo gani mapya hayo ambayo Pinda hayasemi, halafu kulifanyia kazi maana yake ndio nini na nani analifanyia kazi????
Mimi habari hii nimeiona kwenye gazeti la MwananchiSulphadoxine, kwa mujibu wa gazeti gani?
Mpwa kwa suala hili jinsi kila mwananchi alivyolitolea macho sidhani kama jamaa anaweza kupotezewa tuhuma hivi hivi kijuujuu tuMpwa hujaelewa analifanyia kazi maanake jinsi gani tuhuma hizi atakavyo zipotezea
Nimekumbuka maneno ya Lema kuwa Pinda ni muongoKama wameshindwa kumfukuzu Jairo tunaomba basi Pinda mwenyewe ajiuzulu kwani amedanganya umma kwa mara nyingine tena!
Hizi statement mbili hizi, yaani ilipaswa huyu mtu achuliwe hatua sasa sijui hayo maelekezo mapya kuhusu suala hilo ambayo wanalazimika kuyafanyia kazi ni yapi na kwanini hawayasemi kwani imeishakuwa ni siri?????