Kwanini fungus wanaonekana kuwa chronic sana hata kama uwe msafi sana na kufua nguo za ndani pia pindi utakapo kuoga unajikausha vzr na tawel (testicle fungus) na dawa nzuri hasa ni ipi??
Nimeona nitoe mrejesho wa uchunguzi wa TRA kuhusiana na utajiri wangu,
Wengine wakasema hao ndiyo waliokuwa wanakuchunguza kwanini usisubiri watoe mrejesho juu ya uchunguzi wao..., Nina sababu kubwa mungu anaona mbali kuliko mwanadamu.
Tulianza vizuri kabisa juu ya uchunguzi wao tena kimya...
Mbunge wa geita mh.msukuma amesema kama mbowe ni mwanaume amfukuze lowassa kwa kitendo cha kwenda kumpongeza rais ikulu kwa kazi nzuri anayofanya.
Mbowe na lowassa ni watu wawili tofauti...,,Mbowe ni kijana na lowassa ni mzee, kitendo cha mbowe kumsema lowasa kwenye mitandao ni kumzalilisha...
Desemba 17, 2017
Mh. Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini(CHADEMA) amesema kuna watu wanampigiapigia simu na kutaka kumshawishi ahamie chama cha mapinduzi (CCM).
Amesema watu hao wanampigia simu na kumtishia kuwa ni bora achukue hela aweze kujianga na CCM maana 2020 yeye, halima, sugu...
1.wife unakutana nae siku zinapokuwa za hatari? Au mnafanya bila kujali hicho?
2.huwa anapata maumivu wakati wa tendo la ndoa?
3.Je ana amniotic za kutoka kwny uke wake zinazorahisisha wazungu kwenda marekani?
Mkuu yapo mengi lakini nataka kujua kwanza hayo machache.
Mm nimemwelewa MSKUMA alichokuwa anamaanisha, Kwakuwa sera ya serikali inasema "Awamu ya tano ni serikali ya VIWANDA, Sasa bac kwa kuwa hii serikali haina uwezo wa kujenga wala kufufua viwanda vilivyotelekezwa NDio maana ndugu MSUKUMA amesema hata ukiwa na kinu cha kutwangia kisamvu hcho ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.