Recent content by Hekima ni Mwalimu

  1. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Je, mwanaume ulishawahi kugeuzwa mchepuko na ukachukulia poa?

    Ilibidi awe na mtazamo kama wako Sema hashafeli maana na yeye anafurahia kuwa mchepuko.
  2. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Nssf mafao yangu ubungo

    Baada ya kuweka kidole inabidi usubili hadi mwezi kisheria Lakini hesabu tangu umeweka vidole ndani ya week mbili utakua ushapokea pesa zako
  3. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Pole kwa watanzania ambao hela imewakataa

    Watu wote wakifanikiwa inabidi wawe kama huyu jamaa. Siyo wale wengine ambao wanawaona wenzao hawana akili kisa wao wametoboa.
  4. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Kwa Tabia hizi za kuacha kazi nina matatizo au?

    Maisha bado hayajakunyosha vizuri wewe . Hizo kazi unazo ziacha kunawezako wanaotafuta na hawazipati.
  5. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimekuwa mtihani kwangu, kila nikiitwa kwenye usahili nashindwa kujieleza

    Tafuta kitabu cha kiingereza ujifunze mwenyewe au nenda English course Lakini usiache kuapply kazi kwani Mimi karibu interview zote nilizo fanyiwaga uwa zinakua za kiswahili l
  6. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Kuna ubaya mwenza wako akimtazama jinsia tofauti na yake

    Sema hiyo imekaa vizuri anajua kuwa akizungua , unao wakuwafuata.
  7. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Elimu ni muhimu sana hata kama haitakusaidia kupata ajira

    Lahiti watu wote wangeona umuhimu WA elimu kama wewe Tungekuwa mbali Sana
  8. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Ni mchallange vipi huyu mtoto maana akili yake imevuka mipaka ya elimu na hataki shule

    Huyo Sasa ni mtu mzima , Sema mkazanie Tu amalize shule & Muulize ana mpango wakuwa Nani maishani. Then muelekezee uko.
  9. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mtumishi wa Umma, nilikopa 20m, nimejenga, kulipa imekuwa mtihani, sijui cha kufanya, nisaidieni

    Asipo kusikia wewe hapo hachomoki , uza million 40 , Inayo Baki tumia kwenye mambo mengine Lakini kifupi , Elimu ya Fedha hahuna , inabidi ukope Ili ukafanye biashara na siyo Kwa ajili ya expenses au matumizi binafsi
  10. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mke wangu anaona aibu akivua nguo mbele yangu

    Kama ni hivyo , akikwambia toka nje basi mpishe.
  11. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mke wangu anaona aibu akivua nguo mbele yangu

    Tatizo umezoea kumpa show usiku na siyo mchana. Anzisha mechi za mchana , tatizo litahisha
  12. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Nisikilizwe nishauriwe ukweli mtupu nisije kujuta maisha yangu yote

    Basi utulie , uwe mke mdogo mbona hakuna shida hapo kakufungulia Hadi biashara.
  13. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Duh balaa
  14. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Yale maji ndani ya nazi nani kayaweka?

    Kuna maswali mengi ata majibu ukiyapata hayakusahidii kitu
Back
Top Bottom