Recent content by Hekima ni Mwalimu

  1. Hekima ni Mwalimu

    Hekima

    Usitake muujiza , kama unaweza kutumia maarifa ukafanikiwa . Hekima uwa Ina jieleza yenyewe.
  2. Hekima ni Mwalimu

    The Richest Man In Babylon

    MADINI YA HUMO NDANI HATARI SANA , ONE OF MY FAVORITE BOOK
  3. Hekima ni Mwalimu

    Sikutegemea nilichokikuta ukweni

    Hapo ndipo hulipokosea kujitoa Sana ukweni , Pole mkuu.
  4. Hekima ni Mwalimu

    Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake

    This is very seriously wisdom
  5. Hekima ni Mwalimu

    Nguzo za muhimu za kuwa nazo kijana ili afanikiwe maishani.

    Vijana wengi Leo hii wapo busy kutafuta mambo ya Kuwa furahisha na siyo kuwa fanikisha . Kama kijana anapaswa kujenga nguzo zifuatazo ili aweze kufanikiwa Kwa Leo nitaongelea nguzo mbili tu , zengine wakati ujao, nazo ni hizi . 1) kijana ana paswa kumtafuta Mungu na nguvu zake, ili aweze...
  6. Hekima ni Mwalimu

    Vijana mnaotaka kuoa " Kamwe usioe mwanamke Mlokole"

    Tafuta maarifa kabla ya kufundisha
  7. Hekima ni Mwalimu

    Marafiki wa kuongea nao kingereza

    Habari Wana jf, natafuta marafiki wa kuongea nao na kuchat nao kingereza Kama uko interested ni fuate pm Unitumie namba yako .
Back
Top Bottom