Kuna mdogo wangu mmoja kaoa alafu kaka yake mimi bado
Basi nikawa nimeenda home kuwasalimia wamenisema nioe eti umri unaenda & sahizi nina miaka 29.
Sema kwenye mazingira yangu yote sijaona mwanamke wa kumuoa ,
Nikibahatisha kuchukua namba Niki watongoza wanakataa yaani balaah juu ya balaah5
Hiyo ni taaluma yangu na uzoefu nayo vizuri.
Kama wewe umebahatika kupata ajira sawa
Sasa wewe poteza ajira alafu njoo uku nje kuna rangi hutaacha kuiona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.