Nssf mafao yangu ubungo

Nssf mafao yangu ubungo

Lugha chafu ya Nini sasa?
1.4m take home bado ni mshahara ndogo.
Unajua 1.4M ya mwaka 2015 ni Sh ngapi ya sasa?! Fanya hesabu rahisi tu, tafuta bei ya kilo1 ya nyama mwaka huo...utoe bei ya sasa ya kilo ya nyama...ndio utapata thamani ya hiyo hela kwa sasa ...

Siko hapa kuongelea hayo....nilishatoka huko kwenye kuajiriwa...niko kwingine

Na kwa sasa hao madriller wanalipwa mili 4-5 nett pay...

Usishangae miner kumhonga mtumishi wa nssf milioni...maana anapata mafao makubwa ndani ya miaka michache tu.
 
Jamani nimeweka kidole tarehe 10/8/2026 paka leo tarehe 18 sijafanikiwa kupata hela zangu jamani

Kwani inachukuwa siku ngapi nssf? jamani familia zetu zitakufa njaa mke na mtoto watakula nini Sina kipato naitegemea hiyo ndio ininyanyue tena

Naombeni msaada hela inachukuwa siku ngapi au kuna mtu aliyeweka kidole mwezi huu wa nane na tayari ameshapata mafao yake?
Baada ya kuweka kidole inabidi usubili hadi mwezi kisheria

Lakini hesabu tangu umeweka vidole ndani ya week mbili utakua ushapokea pesa zako
 
Unajua 1.4M ya mwaka 2015 ni Sh ngapi ya sasa?! Fanya hesabu rahisi tu, tafuta bei ya kilo1 ya nyama mwaka huo...utoe bei ya sasa ya kilo ya nyama...ndio utapata thamani ya hiyo hela kwa sasa ...

Siko hapa kuongelea hayo....nilishatoka huko kwenye kuajiriwa...niko kwingine

Na kwa sasa hao madriller wanalipwa mili 4-5 nett pay...

Usishangae miner kumhonga mtumishi wa nssf milioni...maana anapata mafao makubwa ndani ya miaka michache tu.
Nssf ya miner inafika mpaka milioni 80+ na huyo ni miner wa kawaida unashindwaje kutoa milioni upate mtonyo
 
Jamani nimeweka kidole tarehe 10/8/2026 paka leo tarehe 18 sijafanikiwa kupata hela zangu jamani

Kwani inachukuwa siku ngapi nssf? jamani familia zetu zitakufa njaa mke na mtoto watakula nini Sina kipato naitegemea hiyo ndio ininyanyue tena

Naombeni msaada hela inachukuwa siku ngapi au kuna mtu aliyeweka kidole mwezi huu wa nane na tayari ameshapata mafao yake?
Hii kitu ni janga kabisaa
 
Last time nilichukua mafao yangu mkoa x... kulikuwa na hela ndogo 16m+ ilichukua kama siku 16 za kazi nikaona meseji na sikutoa chochote ila za zamani nilitoa ya maji 😀
 
Back
Top Bottom