Habari Tanesco
Nimehamia kwenye nyumba Nina wiki mbili tangu nihamie ila kila niliangalia salio la umeme display inaandika error 77 au sleep na umeme upo ila sijui ni kiasi gani naombeni msaada wenu tafadhali
Hata M pesa nako wizi mtupu nilikopa m pawa 15.000/= ilinibidi nilipe ndani ya mwezi nikachelewa kulipa ...nikatumiwa pesa 150.000/= nikaamuwa Ngoja nipunguze deni nikatoka 10.000 kwenye mpesa nikatia kwenye m pawa nikalia deni....kilichofuata wamepokea 10.000 niliyolipa kwa hiyari ukaenda na...
Wakumbushe tu kuwa wenzetu husimamia mikataba pale Mwanza kuna wamsiri kabisa na ofisi zao kwa ajili ya kutoa ripoti kwa serikali yao kile kinachoendelea pale ziwa Nyanza
Unaibiwa ndg mm nina jagi watts1200,pasi,ricecooker,microwave,TV ,Na fridge kwa siku haizidi unit 1 kwani kuna kisoma umeme kila mtu kufungiwa....unapigwa ndg
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndg sometimes ni mfumo mbovu wa umeme kama wiring ni chafu lazima mlie....pia vifaa used hasa mafridge yanakula sana umeme ambayo huku kwetu uswazi ndiyo yanatamba;nawashauri ndg zangu upande wa vifaa tusipende kunumua used vinatughalimu sana hasa mafridge
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.