Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,314
- 105,143
Jana usiku nimetumiwa meseji majira ya SAA 4 kuwa ifikapo saa 6 usiku kutakuwa na maboresho kwa upande wa Tigo Pesa.
Nilitegemea kuona maboresho ya sasa yatakuwa yanamnufaisha mwananchi na sio ukandamizaji ambao umekuwa ukiwadidimiza wananchi
Hapo awali kabla ya update ya jana ilikuwa ili upate sh.10000 utakatwa 1400, kwenye 20000 walikata 1700, na kwenye 50000 walikata 2650
Angalia hii statistics baada ya maboresho ya jana. Ili upate 10000 utakatwa 1450 (hapa wameongeza 50)
Ili upate 20000 utakatwa 1750 (150 imeongezeka) halafu kwenye 50000 utakatwa 2700
Nakumbuka mwaka 2015 makato ya huduma za kipesa kwenye mitandao karibia yote ilikuwa na mienendo mizuri ambayo kila mwananchi aliweza kui-afford
Kwenye shilingi 10000 walikuwa wanakata 800 lakini haya maboresho ya jana ni kisanga aisee
Nilitegemea kuona maboresho ya sasa yatakuwa yanamnufaisha mwananchi na sio ukandamizaji ambao umekuwa ukiwadidimiza wananchi
Hapo awali kabla ya update ya jana ilikuwa ili upate sh.10000 utakatwa 1400, kwenye 20000 walikata 1700, na kwenye 50000 walikata 2650
Angalia hii statistics baada ya maboresho ya jana. Ili upate 10000 utakatwa 1450 (hapa wameongeza 50)
Ili upate 20000 utakatwa 1750 (150 imeongezeka) halafu kwenye 50000 utakatwa 2700
Nakumbuka mwaka 2015 makato ya huduma za kipesa kwenye mitandao karibia yote ilikuwa na mienendo mizuri ambayo kila mwananchi aliweza kui-afford
Kwenye shilingi 10000 walikuwa wanakata 800 lakini haya maboresho ya jana ni kisanga aisee