Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 768
- 1,959
Mkuu wa mkoa wa Dar esSalaam, Aboubakar Kunenge, ametoa onyo kwa watu au vikundi vya watu vilivyopanga kufanya vurugu na kusema kuwa, yeyote atakayejaribu kuvuruga amani kwenye mkoa huo atawajibishwa kwa mujibu wa sheria.