Recent content by hedecm

  1. H

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Katikati ya hayo yote una wazo zuri la kuacha Fanya hivyo. Tafuta kila njia ya kuacha. Achana na vichochezi vyote. Zaidi sana ni dhambi na pia ni kinyume na maadili na ni hatari kwa afya yako. Nakushauri tafuta kanisa la kilokole nenda omba wakusaidie. Kama ni gumu kwako Mungu hashindwi usikate...
  2. H

    Diaspora karudi Kitaa baada ya miaka 30 nje, anashangaa!

    Atakuwa na stress za kurudi bongo. Tangu aende nje kafanya nini cha kusababisha barabara ijengwe? Aongeze nguvu tubadili fikra ya kuwanyooshea vidole wengine kwa mapungufu yetu huku wao wanaendelea kunenepa. Tuwawajibishe wasifaa kutuongoza kwa kura zetu. Na tuwapigie kelele hadi wawajibike...
  3. H

    AuDi A4 Garage

    Wewe uko wapi? Anyway nenda kwa garage yoyote wanazotengeneza BMW au vw au Benz watakusaidia pia gari za mjerumani usitumie oil za bei chee waulize best oil au agiza oil ya Audi Uganda zipo nyingi. Fundi makini unaweza mpa clip za YouTube akapiga kazi bomba tu. Wala usikimbizane na garama za...
  4. H

    YANGA NAO WADAI POINT TATU ZA RUFAA YAO

    Hahaha soka siasa!!! Rudini uwanjani bana mtupe raha. Hii mambo ya yanga na Simba na soka siasa inatukwamisha sana Tz ktk soka
Back
Top Bottom