Kuna wale vibarua wanapiga 'daywork' kwenye viwanda vya bia, soda, au kwa wahindi kubeba viroba vya unga, mabox, viwanda vya nondo naskia wanalipwa 3000-5000 kwa siku; hawa nao tunawaweka kundi gani?
Huo ndo ukweli ambao wengi hawataki kukubali. Wewe kama mwanaume utafanikiwa kwa juhudi zako, maarifa yako na upambanaji wako na sio kwa kutegemea akili na mawazo ya mwanamke. Akiwa mchango wowote kwako basi hiyo ni bonus tu lakini kama utaishi kwa kutegemea akili ya mwanamke eti akusaidie...
Una 500M unakuja kuomba ushauri JF namna ya kuwekeza? Sasa ulikua unazitafuta za nini kama hata hujui cha kuzifanyia? Maana najua from the first step unatafuta hela ni kwa ajili ya kutatua changamoto flan ama kuizalisha kupitia uwekezaji. Au ni pesa ya ndoto yako unakusanya mawazo ya biashara na...
Hii nchi kila mtu ni mwizi, tapeli na muharamia. Ni ngumu sana kuendelea kama una raia wana akili za namna hii maana hata viongozi wanatoka kwenye jamii hii hii ya watu waovu. Acha mzungu aendelee kuitawala Dunia
East Zoo na K-Nyama kama alivyokua anaimba Ngwair kwenye nyimbo zake pamoja na wadau wote wa Chamber squad. Picha linaanza East Zoo ni kwenye uwanja wa mpira wa pale chuo cha st John's (Zamani Mazengo High School)Dodoma. Pale uwanjani kuna kajukwaa flan hivi kadogo kwa nyuma ndo chamber squad...
Travelling to where? Domestic trip or international trip? Eleza vizuri. Kama ni international trip angalia weather ya unakokwenda usije kushuka Airport na bukta yako ukaganda kwa baridi, nchi nyingi za Ulaya ni baridi sana kwa kipindi hiki. Kama ni domestic angalia unaenda wapi, kama ni Kijijini...
Unaelewa maana ya hiki ulichokiandika? Elfu 70000 ndo sh ngapi? 70000x1000 ndo unachomaanisha? Kuna muda ujuaji unaweza kukufanya uonekane mjinga zaidi ya watu walivyokua wanakufikiria
Hivi ukimkopesha mtu PESA asipokulipa unaweza kwenda kumshitaki? Navyojua Mimi sheria hairusu mtu asiekua na leseni ya biashara ya kukopesha kumkopesha pesa mtu na kwa nchi za wenzetu hiyo ni kesi unafungwa ama kutozwa faini kubwa maana unakua umetenda kosa la uhujumu uchumi. Turudi bongo, hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.