Hii mechi hawa madogo wala hawakutakiwa kufika matuta. Kuna nafasi nyingi sana za kuiua mechi madogo walikua wanalazimisha kufunga sehemu ya kumpasia mtu afunge kwa urahisi sasa sijui waliahidiwa zawadi binafsi kwa atakaefunga? All in all wamejitahidi kufika adi hapo bila siasa kuingia walikua...
Doooh! Hivi mbona ni vitisho sasa. Hizi Sheria zimeandikwa wapi Mkuu? Zipo kwenye Sheria ya ndoa? Haki za watoto? Katiba ya Jamhuri? ... Anyways hili ni katazo la kuoa ama kua na mahusiano na single mothers. Hawa watu mtawaua sasa maana kila kona wanaandamwa aiseeh 🤔
Kwa uelewa wangu as long as yuko kwenye academic institution na ni yuko kwenye academician cadre, muundo wa ajira/ kazi yake inamlazimisha kwenda kusoma adi afikie rank ya mwisho ya Elimu ambayo ni PhD. Otherwise itakua ni academic institution ya ajabu ambayo ina discourage wafanyakazi wake kada...
Omba ukasome Masters, imekuaje umekaa hapo na kuridhika kua tutorial assistant kwa zaidi ya mwaka? Ulitakiwa kuomba kwenda shule mwaka huo huo ulioajiriwa. Then mwaka utakaomaliza Master's ujitahidi urudi kazini ukiwa na admission letter kwa ajili ya PhD unafika kazini unaprocess barua ya ruhusa...
Nimesoma tips zote zilizotolewa..in short ili uende bar za kibongo lazima uwe unajua ngumi kidogo (hapa inabidi upitie mafia boxing wakupike kidogo), ni lazima ujue kukimbia (hapa Kipchoge na Simbu wanahusika), ni lazima uwe na silaha yoyote (sielewi labda upite JKT au mgambo), uende Bar...
Baada ya uchunguzi wangu mdogo nimegundua kua Asubuhi News ndo Deo Kisandu. Naona ameamua kuanzisha na gazeti kabsa. Ni hatua kubwa lakini nadhani kuna hatua za haraka zinatakiwa kuchukuliwa na watu wake wa karibu kwasababu naona hali inazidi kua mbaya. Inasikitisha sana na wala sio jambo la...
Mzee,...huwezi kumnyoosha mtu mzima. Huwezi kumcontrol mwanamke ambae anazuia mamlaka na utawala wako. Kwakifupi huyo sio mwanamke wako ni mwanamke wa mtu mwingine. Wewe tafuta size yako, yupo mwanamke kwa ajili yako ila sio huyo. Huko unakoelekea unatafuta matatizo zaidi ya hicho kiburi...
Nimewahi kufanya kazi na mwamba mmoja yeye alikua mpigaji na akiona wadau wamemzonga sana anaenda hospital kitengo cha wagonjwa wenye matatizo ya akili anakaa huko wewe, akija kutoka anakuonesha cheti cha Daktari. Anyways hapa Duniani kila mtu ana mifumo yake ya namna ya kuishi. Ontario, JATU na...
Huyo alieruhusu mtumishi kukopa kwa miaka 10 ndo mjinga zaidi. Mtumishi hana biashara yoyote unamkopeshaje kwa miaka 10? Mikopo iwe mwisho miaka mitatu tu. Mtu anakopaje miaka 10 kwa kutegemea makato ya kwenye mshahara?
Yani mkopo 18M, take home 17M afu urudishe 70M tena kwa miaka 10? Huo ni mkopo ama Bange? Hao UTUMISHI ni kenge kabsa hawawezi hata kufanya assessment kabla ya kuiweka hizo taasisi kwenye ESS system?
Kuna wale vibarua wanapiga 'daywork' kwenye viwanda vya bia, soda, au kwa wahindi kubeba viroba vya unga, mabox, viwanda vya nondo naskia wanalipwa 3000-5000 kwa siku; hawa nao tunawaweka kundi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.