Recent content by Heavy Metal

  1. Heavy Metal

    Kuna kazi wanaozifanya sijawahi kuelewa huwa wanaishi vipi

    Kuna wale vibarua wanapiga 'daywork' kwenye viwanda vya bia, soda, au kwa wahindi kubeba viroba vya unga, mabox, viwanda vya nondo naskia wanalipwa 3000-5000 kwa siku; hawa nao tunawaweka kundi gani?
  2. Heavy Metal

    Nampenda sana Najma Paul

    Wasukuma bhana,..nyie ndugu zangu hua mnaniangusha sana.
  3. Heavy Metal

    RC Anthony Mtaka wanawake wanapenda uwasifie uongo. Usivuke Mstari watakuchukia sio muda

    Huo ndo ukweli ambao wengi hawataki kukubali. Wewe kama mwanaume utafanikiwa kwa juhudi zako, maarifa yako na upambanaji wako na sio kwa kutegemea akili na mawazo ya mwanamke. Akiwa mchango wowote kwako basi hiyo ni bonus tu lakini kama utaishi kwa kutegemea akili ya mwanamke eti akusaidie...
  4. Heavy Metal

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Una 500M unakuja kuomba ushauri JF namna ya kuwekeza? Sasa ulikua unazitafuta za nini kama hata hujui cha kuzifanyia? Maana najua from the first step unatafuta hela ni kwa ajili ya kutatua changamoto flan ama kuizalisha kupitia uwekezaji. Au ni pesa ya ndoto yako unakusanya mawazo ya biashara na...
  5. Heavy Metal

    Hivi makampuni ya simu za mkopo yana mpango gani na simu zinazoondolewa mkopo?

    Hii nchi kila mtu ni mwizi, tapeli na muharamia. Ni ngumu sana kuendelea kama una raia wana akili za namna hii maana hata viongozi wanatoka kwenye jamii hii hii ya watu waovu. Acha mzungu aendelee kuitawala Dunia
  6. Heavy Metal

    She is not special

    Uzi ufungwe, umemaliza kila kitu Mzee🤝
  7. Heavy Metal

    Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

    Hivi huyu ndo aliekua mmiliki wa Aurora Security?
  8. Heavy Metal

    Hello fam it is me beautiful girl

    Duuuh!! Kazi ipo🤔
  9. Heavy Metal

    Who is the coolest guy in JF?

    Daaaah sijatajwa popote itakua sijulikani🤔
  10. Heavy Metal

    Ni sehemu gani watu wanapasifia sana ila ulivyofika ukaona ni pa kawaida tu

    East Zoo na K-Nyama kama alivyokua anaimba Ngwair kwenye nyimbo zake pamoja na wadau wote wa Chamber squad. Picha linaanza East Zoo ni kwenye uwanja wa mpira wa pale chuo cha st John's (Zamani Mazengo High School)Dodoma. Pale uwanjani kuna kajukwaa flan hivi kadogo kwa nyuma ndo chamber squad...
  11. Heavy Metal

    What Should I Wear While Traveling?

    Travelling to where? Domestic trip or international trip? Eleza vizuri. Kama ni international trip angalia weather ya unakokwenda usije kushuka Airport na bukta yako ukaganda kwa baridi, nchi nyingi za Ulaya ni baridi sana kwa kipindi hiki. Kama ni domestic angalia unaenda wapi, kama ni Kijijini...
  12. Heavy Metal

    Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Unaelewa maana ya hiki ulichokiandika? Elfu 70000 ndo sh ngapi? 70000x1000 ndo unachomaanisha? Kuna muda ujuaji unaweza kukufanya uonekane mjinga zaidi ya watu walivyokua wanakufikiria
  13. Heavy Metal

    Kuna mshikaji wangu Desemba nilikuwa naview status zake alikuwa anafanya matanuzi/starehe vibaya sana leo kashajisahau

    Hivi ukimkopesha mtu PESA asipokulipa unaweza kwenda kumshitaki? Navyojua Mimi sheria hairusu mtu asiekua na leseni ya biashara ya kukopesha kumkopesha pesa mtu na kwa nchi za wenzetu hiyo ni kesi unafungwa ama kutozwa faini kubwa maana unakua umetenda kosa la uhujumu uchumi. Turudi bongo, hizo...
Back
Top Bottom