/> "Hello" <br /> <br /> <br /> Hello, ni mimi <br /> nilishangaa kama baada ya miaka yote Ningependa kukutana <br /> Ili kwenda juu ya kila kitu <br / > wanasema kwamba wakati walidhani kuponya ya <br /> Lakini mimi si kufanyika uponyaji sana <br /> <br /> Hello, unanisikia? <br /> mimi niko...
Cha msingi ongea na binti.. Kama anamimba akirudi likizo mkubaliane akubali kubeba mzigo wake kwa wazazi wake... Adanganye hakukwambia kuwa yeye ni mwanafunzi na pia yeye alikuridhia na alikuwa tayari kuzaa na wewe kutoka na umri wake. Wazaz wakiona binti ndo anamakosa na alitegesha...
Hahaaaa.... Mmavuvuzela... Hii sio kwa wanawaje tuu anza wewe mkeo asiwe tu mama wa nyumbani mpe kibarua.... Hata kama ni hapo nyumbani mfano kufuga kuku..kuuza mkaa etc. Kwa binti yako fanya hivyo pia.... Kwa mama yako Na shangaz nae usimuache.. Ukifanya hivyo na mwingine nae akifanya...
We unachekesha kwelii embu mpe laki mbili.. Apange chumba... ale kwake.... Avae kwake... Akiumwa ajitibu... Alipe umeme na maji na naul ya kazin uone kama ataweza save hata hiyo 40 kwa mwez... Piga hesabu zako vizuri
Haahaaaaa aya maisha ndugu anayeuliza anahitaji kujua. Na kama ni umbea bac we ndo umekubuhu.... Bila shaka we ni mwanaume Unajua brazia... gauni ...khanga ....ndo nguo unazovaaga??? What about abortion tuambie ushatoa ngapi.??
Habari wana JF
Kuna baba flani hivii ni muislamu anawake watatu na wote kazaa nao.. Sasa juzi kati kaokoka.. Kanisani ataenda na wake wote watatu au itakuwaje? Ningependa kujua wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.