Recent content by heavensentious

  1. heavensentious

    Hello From the Other Side......

    Go for the man.... Utajua huko huko...
  2. heavensentious

    Hello From the Other Side......

    /> "Hello" <br /> <br /> <br /> Hello, ni mimi <br /> nilishangaa kama baada ya miaka yote Ningependa kukutana <br /> Ili kwenda juu ya kila kitu <br / > wanasema kwamba wakati walidhani kuponya ya <br /> Lakini mimi si kufanyika uponyaji sana <br /> <br /> Hello, unanisikia? <br /> mimi niko...
  3. heavensentious

    Msaada wa chuo cha kusoma shahada ya Uzamili

    Am at Open university i can help you... Just dm me...
  4. heavensentious

    Wapendwa na mimi nina langu jambo nahitaji kushauriwa

    Cha msingi ongea na binti.. Kama anamimba akirudi likizo mkubaliane akubali kubeba mzigo wake kwa wazazi wake... Adanganye hakukwambia kuwa yeye ni mwanafunzi na pia yeye alikuridhia na alikuwa tayari kuzaa na wewe kutoka na umri wake. Wazaz wakiona binti ndo anamakosa na alitegesha...
  5. heavensentious

    Wanawake badilikeni!

    Lakinn...... Huko vibarazani ndiko wanajifunzia maujanja na viuno feni??? Sindo mnapendaga ama??
  6. heavensentious

    Wanawake badilikeni!

    Hahaaaa.... Mmavuvuzela... Hii sio kwa wanawaje tuu anza wewe mkeo asiwe tu mama wa nyumbani mpe kibarua.... Hata kama ni hapo nyumbani mfano kufuga kuku..kuuza mkaa etc. Kwa binti yako fanya hivyo pia.... Kwa mama yako Na shangaz nae usimuache.. Ukifanya hivyo na mwingine nae akifanya...
  7. heavensentious

    Natafuta binti wa kazi za ndani

    Bora hata umuulize atupe jibu
  8. heavensentious

    Natafuta binti wa kazi za ndani

    We unachekesha kwelii embu mpe laki mbili.. Apange chumba... ale kwake.... Avae kwake... Akiumwa ajitibu... Alipe umeme na maji na naul ya kazin uone kama ataweza save hata hiyo 40 kwa mwez... Piga hesabu zako vizuri
  9. heavensentious

    Baba mwenye wake watatu kaokoka, je ataenda nao wote kanisani?

    Haahaaaaa aya maisha ndugu anayeuliza anahitaji kujua. Na kama ni umbea bac we ndo umekubuhu.... Bila shaka we ni mwanaume Unajua brazia... gauni ...khanga ....ndo nguo unazovaaga??? What about abortion tuambie ushatoa ngapi.??
  10. heavensentious

    Baba mwenye wake watatu kaokoka, je ataenda nao wote kanisani?

    Sio story ni real na ndo maana nkauliza kama hujui unapita tuu
  11. heavensentious

    Baba mwenye wake watatu kaokoka, je ataenda nao wote kanisani?

    Habari wana JF Kuna baba flani hivii ni muislamu anawake watatu na wote kazaa nao.. Sasa juzi kati kaokoka.. Kanisani ataenda na wake wote watatu au itakuwaje? Ningependa kujua wakuu.
Back
Top Bottom