Recent content by Hearten

  1. Hearten

    Homa Bay, Kenya: Mwanaume auawa wakati akimgombea Mjane

    Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 41 ameuawa katika Kijiji cha Ndori kilichopo katika Jimbo la Homa Bay John Nyambok, amefariki baada ya kujeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake. Polisi wasema wameanza uchunguzi wa tukio hilo Baada ya kujeruhiwa John alikimbizwa katika Kituo cha...
  2. Hearten

    Bei ya mbolea yashuka kwa asilimia sita

    Mfumo wa Ununuzi wa Mbolea kwa Pamoja (BPS), unaotumiwa kuagiza mbolea ya kupandia (DAP) na ya kukuzia (Urea) umerahisisha kupunguza bei ya mbolea kwa kati ya asilimia 6 – 17. Mfumo huo ulianzishwa na Serikali mwaka 2017 kwa lengo la kupata punguzo la bei litokanalo na kununua na kusafirisha...
  3. Hearten

    Nigeria imefunga mpaka wake na Benin kuzuia usafirishaji magendo wa mchele

    Rais Buhari wa Nigeria alisema kutakuwa na mkutano wa pamoja na majirani zake wa eneo la kaskazini Benin na Niger ili kuzungumzia hatua za kuchukuliwa kudhibiti biashara ya magendo kuvuka mipaka yao Serikali ya Nigeria ilieleza Jumatano inafunga sehemu ya magharibi ya mpaka wake na Benin ili...
  4. Hearten

    Ahukumiwa maisha kwa kumbaka mwanafunzi Babati

    Kijana mmoja aitwae Pascal Mananga (22), amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya sekondari Chief Dodo katika Wilaya ya Babati mkoani Manyara. Akitoa hukumu hiyo Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Mkoa wa Manyara, Simon Kobero amesema...
  5. Hearten

    Kikongwe aliyepigania ardhi yake kwa miaka 42 kulipwa milioni 500

    Arusha. Hatimaye kaya 109 zimetakiwa kumlipa fidia jumla ya Sh519.3 milioni kikongwe Nasi Muruo(98) mkazi wa eneo la Sinoni, katika jiji la Arusha, baada ya kurejeshwa ardhi yake aliyokuwa anaidai kwa miaka 42 . Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ametangaza leo...
  6. Hearten

    Kiongozi wa Dini na Mkewe wakamatwa kwa kuzuia kazi ya kuhesabu sensa

    Wanandoa hao wamekamatwa huko Naivasha kwa tuhuma za kuzuia kazi ya zoezi la kuhesabu idadi ya watu(Sensa) Tukio hilo limetokea huko Gatamayu umbali wa Kilometa 30 kutoka Naivasha ambapo kwa pamoja na watoto wao walimfukuza Afisa wa Sensa Walikataa kuhesabiwa wakisimamia Kitabu cha Mambo ya...
  7. Hearten

    UCHUMI: Uwekezaji washuka kwa asilimia 44.4

    Dar es Salaam The value of new investments dropped by 44.4 per cent last year, but the number of ventures funded by locals increased sharply, according to a new report. The National Bureau of Statistics (NBS) says in its report on the national economy for 2018 that the value of new projects...
  8. Hearten

    Uganda airlines first commercial flight had eight passengers on board

    Uganda Airlines today morning had its first commercial flight from Entebbe to Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) with eight passengers on board. The airline, which departed at Entebbe Airport at 6:05am touched down at JKIA at exactly 7:00am, five minutes ahead of the scheduled landing...
  9. Hearten

    P Balyeku wants to kill me - Jinja RDC

    Jinja Resident District Commissioner Eric Sakwa Joseph has said several politicians and technocrats in the area are after his life over his attempt to stop them from grabbing government land. Mr Sakwa made the revelation in Kampala yesterday while appearing before the Commission of Inquiry into...
  10. Hearten

    Raia wa Malawi apandishwa kizimbani kwa kumnajisi mtoto

    RAIA wa Malawi, Paul John (30), amepandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam kwa kosa la kujiridhisha kingono. Akisomewa hati ya mashtaka mbele ya Hakimu Esther Mwakalinga, Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Hellen, alidai Machi 25, mwaka huu eneo la Tegeta Nyuki...
  11. Hearten

    Mwasisi wa uhuru Gambia, Dawda Jawara afariki dunia

    Mwasisi wa uhuru na mwanzilishi wa Jamhuri ya Gambia, Dawda Jawara, amefariki dunia Agosti 27, 2019 akiwa na umri wa miaka 95. ============================================================================================================= Rais wa kwanza wa Gambia na mwasisi wa uhuru wa nchi hiyo...
  12. Hearten

    Kizimbani kwa kukutwa na noti bandia

    Mkazi wa Magomeni Mapipa Mariam Zuberi (21), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa tuhuma za kukutwa na noti 20 za bandia. Akisomewa hati ya shtaka mbele ya Hakimu Lilian Silayo na mwendesha Mashtaka wa Serikali Ester Charles amedai mnamo Juni 27, 2019 eneo la...
  13. Hearten

    Rais Museveni asema hana haraka ya kustaafu

    Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema hana haraka ya kustaafu, na wala hana mpango wa kumwandaa mtu yeyote kurithi nafasi yake na badala yake anazingatia kuimarisha ukuaji wa Uganda na bara la Afrika kwa jumla. Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema hana haraka ya kustaafu, na wala hana mpango...
  14. Hearten

    Watuhumiwa wa mauaji ya kimbari mwaka 1994 kufikishwa Mahakama Jijini Brussels, Ubelgiji

    Majaji wanajiandaakusikiliza kesi inayowahusisha watuhumiwa watatu wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994 Watuhumiwa hao dhidi ya mauaji ya watu wa kabila la Watutsi wanatarajiwa kufikishwa Mahakamani Jijini Brussels ndani ya mwaka wa Mahakama 2019/2020 Watakaofikishwa Mahakani kujibu...
Back
Top Bottom