ulikosea kitu kimoja w.ke design km hyo hutakiwi kusisitiza upewe jibu kinachotakiwa ni kuishi nao hvyo wanavyotaka mwisho wa siku unakula pweza gizani...unajua w.ke wengine hawawezi kusema wamekubali lkn actions zao zinaonesha kwmba washakubali ss ww ulikosea kufanya maamuzi ya haraka
Acha mapenzi yaitwe mapenzi..miaka ya tisiini huko ilikua mtu akikutana mpenzi wake wanashikanana shikana kidogo wanaanza game..walikua hawajali sana mambo ya maromance wala nn...ila kwa wakati wa sasa bila kuzama chumvini mapenzi hayanogi...na ukitaka kumpagawisha mpenzi wako nenda deep uwone...
Chinedu Ike Okorie
Pole sana ndugu ila kama haiingii akilini kwa kijana wa miaka 20 kulawitiwa kirahisi rahisi tu hivi ulishindwa kufight nae au ulionesha dalili kwamba na wewe unaopenda huo mchezo ndo maana akakutest? Je, amewahi kukukojolea kwenye dubri?
kabla ya yt umejichunguza ww una kasoro gn? inawexekana ww ndo mwenye tatizo ndo maana kla kwenye uhusiano uloingia unapigwa kibuti...JARIBU KUANGALIA UNAKOSEA WAPI
ukimbile
wanaobenua matako wanauza makalio au sura zao mbaya ndo wanaamua kuwatega w.me kw makalio...
kupasua sketi mapajani wanaweka urahisi wa kuipandisha wkt wa kupiga mzigo hata km ofisini...
kuwao na kuwatolea pesa ni sadaka kwao ili wapate waturidhishe vizuri....
SWALI: Anko mimi nimempta mpenzi ambaye kusema kweli amenihangaisha sana. Hofu yangu kwa sasa ni kumpoteza naomba uniambie nimfanyie nini ili awe nami maishani. Maana siku hizi wanawake nao hawaaminiki na kwa jinsi nilivyompenda nikimkosa nitaumia sana.
JIBU: Wanawake wanahitaji mambo matano...
copy & paste
BABA NIFUNDISHE KUHUSU WANAWAKE
"Nikufundishe nini mwanangu kuhusu wanawake?Baba yako nimezeeka ghafla nikiwa na ufahamumdogo na mwanangu umeshakua kiasi cha kuhitaji
elimu hii adhimu, nikupe neno gani?, labda hivi,
1.KUHUSU TAMAA ZAO. -Mwanamke yeyote anaweza kukutamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.