Husika na mada hapo juu, nina diploma ya community development nilimaliza chuo cha Rungemba Iringa mwaka 2011 naishi Dar es salaam naomba msaada tafadhali hata kwa kuvolunteer niko tayari.
mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 29 nina dilpoma ya maendeleo ya jamii na nilimaliza mwaka 2012 nilikuwa naomba mwenye kujua sehemu wanazohitaji kujitolea ani pm pls.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.