Recent content by Hdn

  1. H

    Huyu ndiye askofu Gwajima ninayemfahamu, Wakristo jihadharini naye

    Mtoa mada yan wewe ni pompopooooo wa mwisho kabisa chafua unavyo weza ila huwezi kabisa badili imani ya mtu hata sikumoja, unawaya waya tuuu kama umekula maharage ya wap sijui. Wewe ni msukule, au mganga, au mchawi ndomana unamchafua Gwajima kwakuwa misukule yako ukiwemo na wewe hujijui kama...
  2. H

    Kaka yake Josephat Gwajima amtaka mdogo wake amuombe radhi Pengo

    Huyo methusela hatambuliki kwenye ukoo wala urafiki, akome kulazimisha undugu
  3. H

    Kaka feki wa Askofu Gwajima ajitokeza

    Analazimisha undugu na Gwajima, pole wengi kama yeye wanakuja
  4. H

    Msaada tafadhali: Mama ni mchawi

    Mama ni mama either aokoke na kuacha uchawi au. Tumia andiko la usimwache mwanamke mchawi kuishi, lasihivyo hata wewe atakumaliza
  5. H

    Baada ya mahojiano, Gwajima aachiwa kwa dhamana

    Haya sio matusi kabisa
  6. H

    Sasa tusiibiane waumini

    Hofu ya kuchukuliana waumini, mtu ana uhuru wa kuabudu popote panapo mpa amani ya moyo kuabudu eneo hilo
  7. H

    Silaha iliyokamatwa TMJ sio ya Gwajima, ghafla silaha ni ya Gwajima

    Hiv wewe uko hai na unatangaziwa umekufa ukishitukia ulienda ukiwa mzima umerud uko hoi kitandan alafu ukae kimya tuu kama sehemu uliyo enda ukidhan ni salama ukarud mgonjwa, na habari zinazo sambaa ni kuwa umefariki, kipi kinachoendelea je unajua wamejipanga vp, kukuua kwa njia gan, hata mim ni...
  8. H

    Watu 15 mbaroni kwa njama za Kutaka kumtorosha Mchungaji Gwajima

    Haha tatzo wanasoma bible kama hadithi na wakiwa kanisan tuu
  9. H

    Soma alichokiongea Askofu Gwajima baada ya kutoka hospitali

    Wewe umeonalipi la mtoto mdogo. Kuvalishwa permpas, hujui unaweza uka wa mkubwa ki umri ila hujakua kihekima wala kukimawazo ukawa unaongea kama mtoto aliyevaa permpas
  10. H

    Askofu Gwajima ajisalimisha kituo cha Polisi

    Pyeeeeeeeeee umeishiwa cha kuongea
  11. H

    Baada ya mahojiano, Gwajima aachiwa kwa dhamana

    Hahahaha furaha ilioje kwa wana wa ufufuo polen wenye chuki zenu maana kwenu halijatimia
  12. H

    Pengo unamsamehe Gwajima kwa kosa gani?

    Tatzo lenu cjui mmekula maharage ya wap
  13. H

    Watu 15 mbaroni kwa njama za Kutaka kumtorosha Mchungaji Gwajima

    Nyie msio na akili mmerogwa na nan
  14. H

    Gwajima: Niliagiza bastola hospitali kujilinda

    Mmerogwa nyie cjui mmekula maharage ya wap nyie
  15. H

    Gwajima: Niliagiza bastola hospitali kujilinda

    Usilo lijua ni sawa na usiku wagiza
Back
Top Bottom