fuvu la paka
Senior Member
- Mar 29, 2015
- 133
- 76
Katika sakata linaloendelea katika vyombo vya habari kwa muda wa wiki sasa, mapya yaendelea kujitokeza likiwamo la mtu ambaye alijitambulisha kuwa kaka na msemaji wa familia ya askofu huyo, lakini chanzo hiki kimebaini kuwa mtu huyo ni feki.
Mtu huyo aliyejitambulisha kwa jina la Methusela Gwajima na kujiita ni kaka na msemaji wa familia ya Gwajima chanzo hiki kimegundua si kweli na kwenda mbali zaidi kumtafuta mtu ambaye ni wa familia ya Gwajima (jina tunaliuifadhi),mtu huyo aliyetuthibitishia hilo na kutaja majina ya kaka zake na Askofu Gwajima kwa majina ambao ni:-
1. Paul Gwajima
2. Samson Gwajima
3. Faustine Gwajima na
4. Makoye Gwajima
Nilipofuatilia habari za Methusela Gwajima nikabaini mtu huyo ni kada wa CCM na ameshawahi kuwa katibu wa CCM wilaya ya Singida na wilaya ya Nzega kwa nyakati tofauti na sasa anafanya kazi kama informer wa usalama wa taifa (TISS) na anaishi Sikansika karibu na mitambo ya IPTL.
Aidha chanzo changu cha habari kimebainisha kuwa Kaka huyo feki aliwahi kupatwa na maradhi ya akili na kuwa alichofanya ni tabia ya kuendelea kuropoka ropoka ambayo pia inadaiwa ni moja kati ya dalili za maradhi hayo ya mtindio wa ubongo.
Chanzo changu cha habari kilichojitambulisha kama mmoja wa wanafamilia halisi wa familia ya Askofu Gwajima alimkana mtu huyo aliyejitambulisha kwa jina la Methusela Gwajima na kusema familia imesikitishwa sana na kauli yake na kumuonya kamwe asithubutu kutumika kwa lolote kwa habari ya familia ya Askofu Gwajima.
Mtu huyo aliyejitambulisha kwa jina la Methusela Gwajima na kujiita ni kaka na msemaji wa familia ya Gwajima chanzo hiki kimegundua si kweli na kwenda mbali zaidi kumtafuta mtu ambaye ni wa familia ya Gwajima (jina tunaliuifadhi),mtu huyo aliyetuthibitishia hilo na kutaja majina ya kaka zake na Askofu Gwajima kwa majina ambao ni:-
1. Paul Gwajima
2. Samson Gwajima
3. Faustine Gwajima na
4. Makoye Gwajima
Nilipofuatilia habari za Methusela Gwajima nikabaini mtu huyo ni kada wa CCM na ameshawahi kuwa katibu wa CCM wilaya ya Singida na wilaya ya Nzega kwa nyakati tofauti na sasa anafanya kazi kama informer wa usalama wa taifa (TISS) na anaishi Sikansika karibu na mitambo ya IPTL.
Aidha chanzo changu cha habari kimebainisha kuwa Kaka huyo feki aliwahi kupatwa na maradhi ya akili na kuwa alichofanya ni tabia ya kuendelea kuropoka ropoka ambayo pia inadaiwa ni moja kati ya dalili za maradhi hayo ya mtindio wa ubongo.
Chanzo changu cha habari kilichojitambulisha kama mmoja wa wanafamilia halisi wa familia ya Askofu Gwajima alimkana mtu huyo aliyejitambulisha kwa jina la Methusela Gwajima na kusema familia imesikitishwa sana na kauli yake na kumuonya kamwe asithubutu kutumika kwa lolote kwa habari ya familia ya Askofu Gwajima.