Kaka feki wa Askofu Gwajima ajitokeza

Kaka feki wa Askofu Gwajima ajitokeza

fuvu la paka

Senior Member
Joined
Mar 29, 2015
Posts
133
Reaction score
76
Katika sakata linaloendelea katika vyombo vya habari kwa muda wa wiki sasa, mapya yaendelea kujitokeza likiwamo la mtu ambaye alijitambulisha kuwa kaka na msemaji wa familia ya askofu huyo, lakini chanzo hiki kimebaini kuwa mtu huyo ni feki.

Mtu huyo aliyejitambulisha kwa jina la Methusela Gwajima na kujiita ni kaka na msemaji wa familia ya Gwajima chanzo hiki kimegundua si kweli na kwenda mbali zaidi kumtafuta mtu ambaye ni wa familia ya Gwajima (jina tunaliuifadhi),mtu huyo aliyetuthibitishia hilo na kutaja majina ya kaka zake na Askofu Gwajima kwa majina ambao ni:-

1. Paul Gwajima
2. Samson Gwajima
3. Faustine Gwajima na
4. Makoye Gwajima

Nilipofuatilia habari za Methusela Gwajima nikabaini mtu huyo ni kada wa CCM na ameshawahi kuwa katibu wa CCM wilaya ya Singida na wilaya ya Nzega kwa nyakati tofauti na sasa anafanya kazi kama informer wa usalama wa taifa (TISS) na anaishi Sikansika karibu na mitambo ya IPTL.

Aidha chanzo changu cha habari kimebainisha kuwa Kaka huyo feki aliwahi kupatwa na maradhi ya akili na kuwa alichofanya ni tabia ya kuendelea kuropoka ropoka ambayo pia inadaiwa ni moja kati ya dalili za maradhi hayo ya mtindio wa ubongo.

Chanzo changu cha habari kilichojitambulisha kama mmoja wa wanafamilia halisi wa familia ya Askofu Gwajima alimkana mtu huyo aliyejitambulisha kwa jina la Methusela Gwajima na kusema familia imesikitishwa sana na kauli yake na kumuonya kamwe asithubutu kutumika kwa lolote kwa habari ya familia ya Askofu Gwajima.
 
Kaka wa Gwajima Fake

Kada wa ccm,

Mfanyakazi wa TISS,

PSYCHO

Nini kinachokuja?


THIS IS JF, HE HOME OF GREAT THINKERS - STAY CONNECTED!.
 
Mleta mada nadhani una mtindio wa ubongo mkubwa kuliko wa huyo unayemuita kaka feki wa gwajima
 
Katika sakata linaloendelea katika vyombo vya habari kwa muda wa wiki sasa, mapya yaendelea kujitokeza likiwamo la mtu ambaye alijitambulisha kuwa kaka na msemaji wa familia ya askofu huyo, lakini chanzo hiki kimebaini kuwa mtu huyo ni feki.


Mtu huyo aliyejitambulisha kwa jina la Methusela Gwajima na kujiita ni kaka na msemaji wa familia ya Gwajima chanzo hiki kimegundua si kweli na kwenda mbali zaidi kumtafuta mtu ambaye ni wa familia ya Gwajima (jina tunaliuifadhi),mtu huyo aliyetuthibitishia hilo na kutaja majina ya kaka zake na Askofu Gwajima kwa majina ambao ni:-


1. Paul Gwajima
2. Samson Gwajima
3. Faustine Gwajima na
4. Makoye Gwajima


Nilipofuatilia habari za Methusela Gwajima nikabaini mtu huyo ni kada wa CCM na ameshawahi kuwa katibu wa CCM wilaya ya Singida na wilaya ya Nzega kwa nyakati tofauti na sasa anafanya kazi kama informer wa usalama wa taifa (TISS) na anaishi Sikansika karibu na mitambo ya IPTL.


Aidha chanzo changu cha habari kimebainisha kuwa Kaka huyo feki aliwahi kupatwa na maradhi ya akili na kuwa alichofanya ni tabia ya kuendelea kuropoka ropoka ambayo pia inadaiwa ni moja kati ya dalili za maradhi hayo ya mtindio wa ubongo.


Chanzo changu cha habari kilichojitambulisha kama mmoja wa wanafamilia halisi wa familia ya Askofu Gwajima alimkana mtu huyo aliyejitambulisha kwa jina la Methusela Gwajima na kusema familia imesikitishwa sana na kauli yake na kumuonya kamwe asithubutu kutumika kwa lolote kwa habari ya familia ya Askofu Gwajima.

Duu we mkali hata mimi nilishangaa kaka wa familia atoe maneno kama yale labda kama wana bifu.
 
Daaaa aiseee kumbe namimi nijitangaze mdogo wake Gwajima ili niwe maarufu maana sasa hivi kila mtu ndugu yake Gwajima...hahahahahahahahah.........Kweli Gwajima ndio habari ya mjini ona sasa mtu mzima kumbe ni kada wa CCM na ameumbuka daa pole mkuu kwa kuaibishwa.......unatuzuga watanzania.......
 
Umepata shida yote hiyo ya kubadili hata jina ili uje na huu uzi?
Ungesema akina Gwajima ni wa kutoka nje ya tz ningekuelewa,
tz hatuna utamaduni wa kutukana mtu aliyekuzidi umri hata angekufanyia jambo gani.
 
Huu upepo wa Gwai-jay upite sasa ili upepo wa BVR uvume vizuri.
 
kumbe ndugu yake gwajima aliugua ?. Sasa napata picha hata askofu wetu ayuko salama maana hilo ni tatizo la kifamilia
 
Analazimisha undugu na Gwajima, pole wengi kama yeye wanakuja
 
Umepata shida yote hiyo ya kubadili hata jina ili uje na huu uzi?
Ungesema akina Gwajima ni wa kutoka nje ya tz ningekuelewa,
tz hatuna utamaduni wa kutukana mtu aliyekuzidi umri hata angekufanyia jambo gani.

Maadili ya Watanzania tena wa ccm ni kupiga tu waliowazidi umri na baadae kuzawadiwa ukuu wa wilaya.
 
Umepata shida yote hiyo ya kubadili hata jina ili uje na huu uzi?
Ungesema akina Gwajima ni wa kutoka nje ya tz ningekuelewa,
tz hatuna utamaduni wa kutukana mtu aliyekuzidi umri hata angekufanyia jambo gani.

Mamndenyi mbona sikupati chit chat
 
Back
Top Bottom