Umoja ulioanzishwa na maaskofu wa Kikristo ni jambo la kupongezwa.Lakini itakuwa vyema iwapo umoja huu hautaishia kwenye masuala ya katiba na mambo mengine ya kisiasa,bali pia mambo ya kiimani.Ingependeza iwapo ktk vikao vyao watajadili namna ya kukomesha mchezo wa kuibiana washirika.