Kuna mtoto wa kike nilikuta nae maeneo flani hivi nikaona ameng'oa meno yote ya mbele. Na alikuwa kama anamiaka 6 ambaye ni sawa na umri wa mtoto wangu. na mm hapa kuhusu mtoto wangu hajang'oa jino hata moja nikahisi labda mtoto wangu meno yanaweza kuja kuanza kuoteana. na ukizingatia watoto...
Hiyo simu labda itakuwa iliibiwa na ndio maana wakaamua kubadilisha im n au hiyo simu huko ilikotoka itakuwa ilikuwa inasumbua kwahiyo walibadilisha saketi kwahiyo wakati fundi anaifunga alisahau kuweka vizuri waya za netwk.
Kwahiyo kwanza mtafute fundi mzuri aifungue aziangalie waya za netwk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.