hayo yote nimasinagogi kanisa ,kanisa lakweli lipo moyoni mwako.tangu enzi za adam na hawa na hata kizazi hiki Mungu hakumaanisha kuwa kanisa ni jengo au ni hizi rc ,kkkt,Pentecoto,au lingine lolote lakibinadamu hapana!!! kanisa ni wewe na neno linasema mwili wako ni hekaru la Mungi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.