Hiki kitu practically ni worse. Hakuna haja ya kuimpliment hii takataka.
Hizi ni bench project tuu, kwenye uhalisia ni changamoto kubwa sana
Tusiingie kwenye huu mtego.
Am saying in technical perspective ๐
Mayai yapo na yanapevuka. Tumefanya hadi procedure inaitwa IUI lakini hatukufanikiwa.
Naomba Mungu atutoe kwenye hili
Pia nafikili kufanya IVF which cost abt 10 tzs milions
Baada ya mahangaiko na mke wangu tulipima hiki kipimo, aisee aliumia sana. Hatujakata tamaa mwaka wa 5 huu tunahangaika.
Mungu atukumbuke ๐๐๐๐
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.