Recent content by Hawakujui

  1. Hawakujui

    Mkurugenzi mkuu wa TANESCO aliyefariki kwa ajali kaacha watoto 15

    Kwan wewe hupendi chini..!?😁😁😁😁
  2. Hawakujui

    Nyumba inauzwa banana mil 20 elewa neno banana yaani mwendokasi inajengwa

    Kama ni Banana Chama ni maeneo ya Airport ambayo yanabomolewa ili kupisha eneo la airport, na watu wamelipwa juzi tu, ukitoa hela jua umepigwa au umenunua tofali
  3. Hawakujui

    Nilikuwa na mpango wa kuja Dar es salaam, ila nimeogopa

    Dsm kuna kila aina ya maisha, ni mfuko wako tu, usafiri sio BRT tu kuna Daladala, na kuna Tax
  4. Hawakujui

    Watumwa wa kileo hawapo katika minyororo, wapo katika madeni

    Na ni utumwa mbaya kuliko utumwa mkongwe...
  5. Hawakujui

    Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

    Hata viwango vya kuhonga tunatofautiana, wengine wanahonga chips yai, wengine Magari, wengine Nyumba. Kwahiyo maisha lazma yaendelee
  6. Hawakujui

    Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

    Anaeoa ni aziz, na anamuoa Mtanzania mwenzetu, tuwape baraka tu, ni jambo jema kwasababu katuheshimisha, vip kama angekuwa ndugu yako, ungeongea hayo..!? Ndo maana kuna watu wengine huwa wanasema watanzania hatupendani
Back
Top Bottom