Recent content by HawaiianMahalo

  1. H

    Nimeamua rasmi nianze ku Date mishangazi TU na ikiwezekana nioe kabisa mmoja

    Tatizo wako addictive sana! Kuacha ni kazi sana
  2. H

    SI KWELI Mboga za majani aina ya Chainizi husababisha upungufu wa Nguvu za kiume

    Siyapendi hayo majani aisee! Sidhani kama yanatatizo kiafya though! Tembele, mchicha, majani ya maboga, kunde, maharage, mnafu, kisamvu na figiri hizo ndio mboga nizipendazo! Zipikwe kiasili saafi😋😋😋
  3. H

    Hivi unajua ni kiasi gani bosi wa ofisi anayofanyia mkeo anavyomla mkeo?

    "Unapoishi katika jumuiya ya kulana inabidi kama msomi ujifunze jinsi ya kukabiliana na Hali ilivyo si kukwepa majukumu" Mwisho wa kunukuu
  4. H

    Chonde chonde mwanaume mwenzangu Usimuachie mkeo pesa chumbani

    Wanaume tumeumbwa, mateso mateso , kuhangaika ! Kwa sauti ya kuimba!
  5. H

    Mapenzi ya shule: Nilipata mtoto nikiwa Sekondari

    Aaah ndio Nini kutoana machozi aisee! Hongera zako ! RIP R! Umeacha alama !
  6. H

    Historia ya maisha yangu

    Hivi hii maana yake nini ? Mnatutishaga tukipita kwenye vilima vile vinaitwa jina hilo.
  7. H

    Historia ya maisha yangu

    "Kumbadili mtoto jina ni kumuadhibu kwa makosa ya baba yake" He/She doesn't deserve such kind of punishment. Malizana na babaye.
  8. H

    Hakuna sehemu yenye Majungu, unafiki kama Maofisini

    Miaka minne ndani ya ofisi nikipigwa majungu balaa. Iliundwa kumbination ya wachaga ya kunitoa kwenye reli, wanafanya mashambulizi kwa kubadili formation tu dadadeki boss nae anabeba mazima mazima hivyo hivyo. Nilikua frustrated kwa ndani lakini nje najipiga kifua nisiwape credit! Ikafika siku...
  9. H

    Hivi Pisi nyembamba Zina nini lakini maana mimi Sielewi..

    Tuachieni vipotabo wetu! Pisi nyembamba, black au chocolate hivi, ipae kwa hewa, tunyama twa kiasi, na iwe na thigh gape, kasura kembamba hivi aisee acheni kabisa. Usumbufu unachangamsha akili, pisi inakua imepoa kila kitu ndio aaah haileti mzuka, inatakiwa ibishe ibishe kidogo ilete ukinzani...
  10. H

    TANZIA Prof. Cosmas Mligo wa UDSM afariki dunia

    Jamaa alikua kichwa Sana, mtu na nusu kwa lugha ya mtaa. Akili kubwa, halafu Yuko simple tu. Hana majivuno hata kidogo. Ana machapisho kibao ya kisayansi kwenye journals za kimataifa. Alijua kufundisha na kuinua wanyonge! Nimeumia sana. Lakini Mungu ndio anajua zaidi.
  11. H

    Je, CC za engine pekee ndio zinaamua ulaji wa mafuta wa gari?

    2 Wheel drive! Inaweza kuwa Front 2 wheel drive au rear/hind two wheel drive. Yaani gari ina tairi mbili zenye nguvu, ama zinakua za mbele ama za nyuma. Kwa gari zinazotumia tairi za mbele nguvu inayofika kwenye tairi ni kubwa kuliko ile inayofika kwa gari zinazotumia tairi za nyuma, kiasi...
  12. H

    Wanasheria wa Donald Trump wasema Rais huyo wa zamani hakuchochea vurugu zilizotokea Washington DC

    Mpaka mtanange huu unaisha Trump atakua kashushwa Sana Sana.
  13. H

    Erasto Nyoni, kiraka, fundi, bingwa wa penati, mtaalamu

    Wameponzwa na rangi ya jezi yao ile
  14. H

    Erasto Nyoni, kiraka, fundi, bingwa wa penati, mtaalamu

    Wajukuu wa Mugabe wako wanalia ninavyoandika hapa
Back
Top Bottom