Recent content by haubikwetu

  1. H

    Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

    TZ ikafunuliwa yote kila kitendekacho kikaonekana na watu wote; huko zilikohalalisha zitaonekana mtoto.
  2. H

    Ya Samatta na Victor Wanyama: A missed opportunity?

    Ni bahati mbaya sana kwa kijana wetu Samatta kuwa na tabia ya upole asiyetaka makuu hata yale yanayomstahili. Wanaomfahamu kiundani tangu akiwa mtoto mdogo wataelewa nisemacho. Ni bora kujitokeza na ushauri wa kumjenga kuliko kumponda.
  3. H

    Kama Raisi Magufuli na CCM hawataki mfumo wa vyama vingi nchini waseme wazi badala ya kufanya hujuma

    Umenena! Hofu yangu ni kuwa uvumilivu huwa una mwisho. Si vema kuufikisha umma; hata kama ni mtu mmoja; kwenye kilele cha uvumilivu. Au tumesahau yaliyotokea Tunisia yalianzia kwa mtu mmoja tu kujilipua kwa moto kwa hasira ya kuonewa na kunyanyaswa? Tusiifikishe Tanzania yetu huko.
  4. H

    Laana katika ardhi ya Tanzania. Nani wa kuitoa?

    Natamani iwe hivo; kama lengo la kisiasa halipo. Vinginevyo tutasubiri sana.
  5. H

    Laana katika ardhi ya Tanzania. Nani wa kuitoa?

    Inawezekana; kama ndiyo CHADEMA walioamuru wachimbaji wadogo wafukiwe walipogoma kuondoka kwenye machimbo yao kupisha wawekezaji kule Kahama ambao leo tunawaita wezi. Kweli naamini nchi hii ina LAANA.
  6. H

    Lissu: Kama ACACIA ni wezi, kwanini Polisi wamewapiga Mabomu wananchi wa Tarime?

    Sasa kweli nimeamini nchini humu kuna majuha hadi wanaandika hata kisicho eleweka. Hebu tufafanulie tafadhali!
  7. H

    Tanzia: Mwanachama Maarufu wa Yanga, Ally Yanga amefariki kwenye ajali ya gari Dodoma

    Sidhani kama kweli ulisoma ukaelewa kabla huja comment. Mwanza umeiingiza wewe; haikuwepo kabla. Ndiyo tatizo la kukurupuka.
  8. H

    Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

    Ni vema Speaker wa Bunge letu Tukufu akatambua kuwa hao anaosema wapo Upinzani na hivo waweza kuathiriwa na hoja ya Mbunge wa Kilombero hawana KINGA. Kama wana makosa, ni juu ya vyombo vya Ulinzi na Usalama kuchukua hatua stahiki. Hawawezi kulindwa ili kuwalinda viongozi walio na kinga...
  9. H

    Lissu: Si mara ya kwanza tunaahidiwa kuwekewa mikataba wazi. Kumuunga mkono Rais si lazima

    Tofauti iliyopo ni kuwa Gadaffi hakuwa part and.parcel ktk mkataba wa awali. Hivo siyo sahihi kulinganisha. Waliotufikisha hapa waungame kwanza kuwa walilikosea Taifa na isiwe ni ngonjera tu za kisiasa kwa malengo ya kisiasa.
  10. H

    Lissu: Si mara ya kwanza tunaahidiwa kuwekewa mikataba wazi. Kumuunga mkono Rais si lazima

    Mapendekezo yamekuwa yakiimbwa tangu miaka ya tisini. Sasa ni "mapendekezo" gani tena unataka yatolewe? Kupinga sheria kupitishwa kwa hati za dharura siyo "mapendekezo"? Tutumie mbongo na si ushabiki ktk kujadili masuala.
  11. H

    Lissu: Si mara ya kwanza tunaahidiwa kuwekewa mikataba wazi. Kumuunga mkono Rais si lazima

    Jibu hoja kwa hoja. Hongera kwa SAULO kugeuka kuwa PAULO.
  12. H

    TAHADHARI: EWURA mnaingia katika mtego kama ule wa TANESCO

    Ni bora umejificha kukwepa aibu ya kukurupuka.
  13. H

    Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

    Watoto wanafundishika. Ukimkanya kitu kwa karipio, hatathubutu kukirudia. Tabia ya kulea watoto kama mayai ndiyo inayo waharibu.
  14. H

    Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

    Asiyepata bahati ya kuishi na mtoto wake akiwa na umri wa miaka kuanzia 2 hadi 4 atakuwa amekosa uhondo wa kupindukia. Ndiyo kipindi kizuri cha kufurahia ubunifu wa mtoto aliyeanza kuongea kabla hajaanza utundu wa shuleni. Ni kipindi cha faraja ya ajabu kushuhudia ubunifu wa kiasili wa binadamu...
Back
Top Bottom