Lissu: Kama ACACIA ni wezi, kwanini Polisi wamewapiga Mabomu wananchi wa Tarime?

Lissu anaongea kama sio wakili. Hata kama tunasema Acacia wezi, Hakuna sheria ya kuingia migodini kwa kiasi na Fuji. Ukiibiwa unapeleka mala iko yako serikali na huruhusiwi kujichukulia sheria mikononi kwako. Uingereza mwizi akikuingilia nyumbani kwako huru sisi kumpiga zaidi kujikinga asikuumize.
Sasa kweli nimeamini nchini humu kuna majuha hadi wanaandika hata kisicho eleweka. Hebu tufafanulie tafadhali!
 
Ni makosa MAKUBWA kwa sisi wananchi kujichukulia SHERIA mikononi mwetu.
Wananchi Si serikali sisi wananchi ni WADAU tu ndani ya serikali.
HATURUHUSIWI kisheria KUVAMIA mali ya mtu mwingine HATA kama ANA mgogoro na serikali kuhusu MALIPO.

MABOMU ya MACHOZI ni haki yao acha WAPIGWE maana WANATAKA kuchafua JINA la nchi yetu na LENGO na DHAMIRA nzuri ya nchi na rais wetu katika kutengeneza mazingira mazuri katika uwekezaji.

Wakijaribu kuvamia tena WAPIGWE sana na siyo KIDOGO .
Huwezi kuvunja sheria ili utatue ukiukaji wa sheria.
Hilo ni kosa la jinai.
Tanzania SI ZIMBABWE.
 
Nimefuatilia post za lisu hivi karibuni karibia mitandao yote ya kijamii mwisho nimeona kuwa utumbo anaopost sasa hivi lissu ni humu jamii forum na instagram kwa support ya Mange je naomba kuuliza kati ya twitter , jamii forum na instagram wapi kuna intelligent people..alafu utajijib mwenyewe..
 
Ni makosa MAKUBWA kwa sisi wananchi kujichukulia SHERIA mikononi mwetu.
Wananchi Si serikali sisi wananchi ni WADAU tu ndani ya serikali.
HATURUHUSIWI kisheria KUVAMIA mali ya mtu mwingine HATA kama ANA mgogoro na serikali kuhusu MALIPO.

MABOMU ya MACHOZI ni haki yao acha WAPIGWE maana WANATAKA kuchafua JINA la nchi yetu na LENGO na DHAMIRA nzuri ya nchi na rais wetu katika kutengeneza mazingira mazuri katika uwekezaji.

Wakijaribu kuvamia tena WAPIGWE sana na siyo KIDOGO .
Huwezi kuvunja sheria ili utatue ukiukaji wa sheria.
Hilo ni kosa la jinai.
Tanzania SI ZIMBABWE.
Unadhani mwananchi wa kawaida kule kijijini anaposikia rais anasema acacia ni mwizi atajua kuna mambo ya sheria?
Mwambieni huyo babu yenu asipende kuropoka ropoka.wananchi wanayabeba kama yalivyo kwa ajili ya utekelezaji na hasa ukizingatia wajinga nchi hii ni wengi. Sasa kama Rais anashindwa kuwa na busara katika kutamka maneno yake matokeo yake ndio haya wananchi wanavamia migodi. Tusiiendeshe nchi hii kama utawala wa mfalme " juha"
 
Kila siku tunahimiza Rahisi aweke akiba ya maneno na pia atumie busara zaidi.....!! Sasa ameshawahukumu acacia wananchi wanataka chao!! Tunapambana na makinikia ya 5% ndege dialy zinachukua mzigo mkubwa wa 95%..... kwa nini kama kweli anapambana na mikataba fake na kampuni haina docs zozote si azuie production zote na usafirishaji???
 
Kwa hiyo anataka wajichukulie sheria mkononi
lisu anajua kuongelea mambo ya sheria ku-practice yuko sifuri.ndio maana kesi nyingi anazosimamia huwa anashindwa.anasifiwa sana kubwabwaja .Hajui kuhusianisha sheria na practice.Kama mtu anataka wakili wa kumtetea ni achukue wakili yeyote sio Lisu.Lisu ni ziro kwenye practice za uwakili.
 
Lissu anaongea kama sio wakili. Hata kama tunasema Acacia wezi, Hakuna sheria ya kuingia migodini kwa kiasi na Fuji. Ukiibiwa unapeleka mala iko yako serikali na huruhusiwi kujichukulia sheria mikononi kwako. Uingereza mwizi akikuingilia nyumbani kwako huru sisi kumpiga zaidi kujikinga asikuumize.
Hapa ni Tanzania ndiyo maana wezi huchomwa moto achana na sheria za Uingereza ambazo wazungu walikuja nazo CCM mkapitisha kwa kura za ndiyooo... Magufuli kasema wazungu ni Wezi cha ajabu kakaa na wezi ikulu kuzungumza, mbona Singasinga na rugamalila hajawaita ikulu? Kama Acacia ni wezi acheni wananchi wachukue chao maana dawa ya mwizi ni kulinda chako.
 
Mwizi akiwa 'MZUNGU' anakaribishwa IKULU na kupewa Chai.!!!!!!!!!!!!!
Rugamalila na Seth singasinga wapo keko lakini hawakuwahi kuitwa na magufuli ikulu iweje mwizi wa kizungu athiniwe hivyo?
 
Back
Top Bottom