Recent content by HatibuZ

  1. H

    Hivi tungekodi kampuni ya Uingereza kuchunguza makinikia tungejua tulichojua?

    Ni vizuri kujiridhisha kwanza kabla ya kutuhumu,,,, great thinker ! Mikataba yote miwili ilikuwepo tangu Kalemani, na tender zilitangazwa. Kuhusu LNG tender ilitangazwa 2018 na mlipaji wa gharama za mkataba huo ni benki ya maendeleo ya Africa AFDB.
  2. H

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha sita 2017

    Asante sana mkuu Post sent using JamiiForums mobile app
  3. H

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha sita 2017

    Mkuu, msaada PDF, S0272 Post sent using JamiiForums mobile app
  4. H

    Msaada ktk Solar system

    Habari zenu jukwaani, Naomba wajuzi na mafundi wa solar wanieleweshe, nataka kufunga Solar sehem ambayo matumizi yake ni kama ifuatavyo:- 1-mafeni mawili ya solar 2-taa 8 za solar 3-Amplifier ya bomba la watts 80 AC lkn ina option ya DC. So nataka kujua ninunue -Panel ya watts ngapi? -Battery...
  5. H

    Msaada kufunga Solar system

    Habari zenu jukwaani, Naomba wajuzi na mafundi wa solar wanieleweshe, nataka kufunga Solar sehem ambayo matumizi yake ni kama ifuatavyo:- 1-mafeni mawili ya solar 2-taa 8 za solar 3-Amplifier ya bomba la watts 80 AC lkn ina option ya DC. So nataka kujua ninunue -Panel ya watts ngapi? -Battery...
  6. H

    Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

    Sina maana ya kuuunga mkono maudhui ya mada ila kuhusu suala la misaada tuweke rikodi sawa, kua:- -Saudia ni moja nchi zinazochangia Bajeti ya SMT kwa miaka mingi sasa. -Chuo kikuu "Zanzibar University" kimeanzishwa na kinaendeshwa na taasisi ya Saudia. Vijana wengi wa visiwani, bara na...
  7. H

    Unguja - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Mpaka sasa Kura za Uraisi ziko hivi:-
  8. H

    Unguja - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Matokeo rasmi ya uraisi ktk majimbo mawili. FUONI Shein : 889 Seif: 429 KIEMBESAMAKI Shein: 4413 Seif: 2689
  9. H

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Hii taarifa kama ni ya kweli na ya mwisho kwa Top 5 ya ccm!! Basi kinachotegemewa ni kua: Mh.Magufuli kupeperusha bendera ya urais. na muelekeo wa serikali ijayo ni km hivi:- -Rais = Magufuli -Makamo = Bilali -PM = Membe, Sita, Mwakiembe, Migiro au Muhongo. -Nchimbi, Mwingulu, Makamba =...
  10. H

    Swali la Ukorofi: Gen. Shimbo Kuchukua Fomu Lini?

    koridoo za visiwani zimethibitisha kua Dr.Shein atachukua fomu ya kuwania kuchaguliwa uraisi wa Zanzibar....kesho !!
  11. H

    Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    Je km mzazi (aliyezaa km miezi michache iliyopita) haingii kabisa mwezini.......uwezekano wa kubeba mimba ukoje??
  12. H

    Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud afukuzwa kazi, Said Hassan Said apewa nafasi hiyo

    Ukweli ni kua: Mh.Othman aliwasilisha barua ya kujiuzulu kwa Rais Smz kipindi kamati za BMK zinajadili vifungu, ila alikataliwa!. -Ag anatetea na kulinda katiba ya znz kwa mujibu wa kiapo chake!. -Haikuwa/haitokuwa sahihi kwa yeye kumshauri Rais wa znz kusaini katiba mpya ambayo inaizika...
Back
Top Bottom