Unajifurahisha sana israel alipata kipigo mpaka akaomba yapelekwe majeshi ili wamlinde hata wanamgambo kutoka tz wapo 300 tank za israel zilipingwa hua hawaonyeshi ukweli
Ni mauaji ya kutisha hayana tofauti na Bosnia ipo siku watajibu tu jiwe siroo mchemba wasione wamenyamaziwa unyama wanao ufanya serekali ya jiwe na makuadi wao watajibu
Hahaha nani anae taka muungano kama si wabara wanajua ukivunjika zanzibar hamtowafikia kwa kila kitu mtawaleta dada zenu Zanzibar kuja kufua chupi na kazi za ndani tu
Sasa huoni na wala husikii wataulinda muungano kwa harama yoyote wanajua wanacho kisema wanzanzibar hawautaki muungano watanganyika ndio wanao utaka wanajua siku ukivunjika tu hamuwapati tena
Hayo yote yashapita kwani wewe umetembea na wangapi hilo lisikutishe endelea nae ni bora yeye kakwambia ukweli atatulia kuliko hiyo alotembea na mmoja baadae atatembea na mia moja haipaswi kuangalia ya nyuma angalia ulipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.