Recent content by hassara

  1. H

    Je, Una lolote unataka kujua kuhusu GreenHouse?

    Ina urefu gani hiyo Greenhouse yenu hapo kati nå pembeni..
  2. H

    Maji yenye chumvi na kilimo cha umwagiliaji

    Zipo Nanna za kuondoa chumvi kwenye maj i wasiliana na wataalamu tu..
  3. H

    Shamba linauzwa Bagamoyo

    haha sema sio watanzania wote ni wizi...
  4. H

    Kiwanjwa kinauzwa Zanzibar

    milion 18 kaka... mtanzania ana haki ya kuishi popote pale tanzania..
  5. H

    Shamba linauzwa Bagamoyo

    Shamba lipo njia ya mlandizi kutokea bagamoyo sehemu inaitwa miswe.. Eneo lipo katibuni na barabara . Zipo ekari tano kila ekari moja bei ni mil6 tu.. Uwezekano wa kupata zaidi upo pia.. Karibuni
  6. H

    KITUO CHA MAFUTA KINAUNZWA

    KITUO KIPO NJIA YA MLANDIZI KUTOKEA BAGAMOYO BARABARA IPO KATIKA HARAKATI ZA KUTIWA LAMI..BARABARA HIYO YOTE HAINA HUDUMA HIYO YA MAFUTA TAKRIBANI KM30..KITUO KIMEKAMILIKA KWA TAKRIBANI ASILIMIA 85 UKITAKA PUMP NAZO ZIPO BADO KUFUNGWA TU.. BEI NI RAHISI TU.. MIL 220.. WAHI UWEKEZAJI WA KUDUMU...
  7. H

    Kiwanjwa kinauzwa Zanzibar

    NAUZA KIWANJA KILICHOPIMWA NA KINA HATI.. KIPO TUNGUU ZNZ KARIBU NA CHUO KIKUU, KIPO KATIKA MASTER CITY PLAN YA SERIKALI MJI UMESHAJENGEKA VIZURI SANA KWA NYUMBA ZA KISASA.. BEI NI MIL 18 TU..
  8. H

    Mrejesho: Kuagiza rice combine harvester toka China

    Nitakuuzia ml 18 mkuu kwa wewe ipo vizuri mno..
  9. H

    Mrejesho: Kuagiza rice combine harvester toka China

    hongeara sana nami ninayo combine na tractor ninauza ila nikumbwa na ni imara sana kwa anaehitaji anitafute ipo dar..0714242879
  10. H

    Tractor na combine harvester zinaunzwa

    inavuna karibuni nafaka za aina zote..
  11. H

    Tractor na combine harvester zinaunzwa

    TRACTOR NA COMBINE HARVESTER MACHINE INAUNZWA HARVESTER ipo madhubuti sana na ina hali nzuri,na inafanya kazi vizuri sana.MIL34 TSH tractor zipo katika hali nzuri MASSEY FERGUSON 178 bei ni milioni 18.5 tsh FORD 4000 bei ni milion 16.5 tsh. Mashine ipo MBWENI Daresalaam. BEI NI MIL..34 TSH...
  12. H

    Tractor na Harvester machine zinauzwa

    TRACTOR NA HARVESTER MACHINE INAUNZWA HARVESTER ipo madhubuti sana na ina hali nzuri,na inafanya kazi vizuri sana.MIL34 TSH tractor zipo katika hali nzuri MASSEY FERGUSON 178 bei ni milioni 19.5 tsh FORD 4000 bei ni milion 17.5 tsh. Mashine ipo MBWENI Daresalaam. BEI NI MIL..34 TSH. tuwasiliane...
  13. H

    Biashara ya Camp ya watalii

    Mkuu wazo zuri sana Sema linahitaji mtaji mkumbwa kidogo.. Kama upo tayari tukae Chini tuone tunaweza shirikiana vp.. Nina mtu anafanya hiyo biasha naamini anaweza akatusaidia..
  14. H

    Harvester inauzwa

    kuvunia nafaka mkuu..mpunga.ngano.maharage nk..nafaka vyingi tuu,, karibuni
  15. H

    Harvester inauzwa

    MASSEY FARGUSON COMBINE HARVESTER INAUNZWA COMBINE HARVESTER ipo madhubuti sana na ina hali nzuri,na inafanya kazi vizuri sana. Kutoka Denmark na haijatumika hapa Tanzania, kama wewe ni makuli isikupite hii.. Mashine ipo MBWENI Daresalaam. BEI NI MIL..34 TSH. tuwasiliane 0714242879 ..0713676035
Back
Top Bottom