Recent content by Hassani

  1. Hassani

    Watafsiri na wabobezi wa ndoto naomba mniambie hii inamaanisha nini?

    Angalia na tv series unazopenda kuangalia
  2. Hassani

    Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Kuna wengi sio wanywaji na wako kwenye stress hzohzo unasemaje
  3. Hassani

    Kwanini utajiri mkubwa hapa Tanzania unamilikiwa na Watanzania wenye asili ya Asia

    umemaliza kila kitu mkuu,watu hawawajui hawa watu biashara iko damuni mwao,wana elim kubwa ya biashara,wana nidham kali sana na inasupportiwa na imani zao,wana ushirikiano mkali sana wa utake usitake wana connection kubwa na wako well informed on how world economy goes.wahindi hawana family...
  4. Hassani

    Sikuona sababu ya kumtenga mke mkubwa wa Ndugai msibani

    Wabongo tupunguze unafki,nimemkataa/kanikataa tukiwa hai nimekufa mnamleta eti mke.ntaamka niwatembezee stick.
  5. Hassani

    GE2025 Nini sababu ya CCM kumkata Furaha Dominic aliyeongoza kura za maoni Kawe 2020? Ni chuki na Magufuli?

    Huyu jamaa ana intergrity issues hata kipindi kile bila uncle wake angeenda jela.
  6. Hassani

    Je JWTZ wako tayari kumlinda aliyevunja Katiba?

    Ibara na Kifungu gani cha katiba vimevunjwa mkuu
  7. Hassani

    Mnataka kunambia serikali haijui kuwa Bakhressa na MO wanawalipa watu Elfu tatu mpaka elfu nne kwa siku?

    Hizi ndo shule za kukariri theories, soko huria haimaanishi serikali haiwezi kuweka regulations na laws.Kiwanda hichohicho na mfanyakazi huyohuyo na anayefanya kazi hiyohiyo akiwa nchi za ulaya analipwa vizuri sana.Ni kwa sababu serikali zao haziwezi kuruhusu mwekezaji anyonye raia wao. Na ishu...
  8. Hassani

    Upande wa pili wa Mbosso usiofahamu

    Nyimbo zake ni kali sana na zinarahisisha mapenzi.huo upande mwingine unaweza baki nao mwenyewe.
  9. Hassani

    Life Lesson: Usifanye deal na Mwanamke

    Kutapeli au kudhulum ni tabia mbaya tu inaweza fanywa na yeyote regardless na gender yake.kwan mpaka umri uliofikia hujawahi ona wanaume wanatapeli au kudhulum watu?
  10. Hassani

    Tamaduni huchochea tabia za watu. Unaposema kabila Fulani linawatu wenye tabia mbaya kama umalaya au roho mbaya. Jiulize; je tamaduni zao zinachochea

    Sometimes tabia za makabila huchangiwa na uoto asili,hali ya hewa na hata upatikanaji wa resources wanapotoka kwa mfano unaweza sema wapare ni wabahili na wachoyo ila ukienda makwao utagundua kuna ukame mkali so chochote mtu akikipata anakishikilia inakuwa asili yao tofauti na wanyakyusa.
  11. Hassani

    Je? ni kweli kuna wanawake wanaenda Gym kutafuta wanaume

    Sehem yoyote wanaume walipo watafuatwa tu hata kama sokoni nini gym.
  12. Hassani

    Kwa hali ilivyo mbaya kwa CCM mwaka huu inawezekana nchi ika collapse baada ya Uchaguzi

    Experience ni mwalim mzuri sana,unaweza kukimbia speed kumbe hata njia hauijui.Only fools do the same thing daily and expect the different result.Kasome tena maana ya hatari,stupid!
  13. Hassani

    Kwa hali ilivyo mbaya kwa CCM mwaka huu inawezekana nchi ika collapse baada ya Uchaguzi

    Ili vuguvugu la kisiasa lilikuwa zaidi ya hivi 2010 kipindi cha kikwete vs Dr Slaa,na lilikuwa zito zaidi 2015 Jiwe vs Edward na bado CCM waliteleza tu.Vyombo vya dola havihitaji kuhongwa mishahara mikubwa kufuata amri za walio madarakani na vyombo vya dola haviruhusiwi kugoma kisheria labda...
Back
Top Bottom