Hali ya amani katika mji wa masasi na vitongoji vyake si shwari kwa siku ya leo. kulianza na maandamano ya waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wakipinga unyanyasasi wa unaofanywa dhidi yao na askari polisi. maadaya ya kuzunguka katika barabara zote kubwa za mjini hapa,waandamanaji waliokua...
hiyo case ni ndogo sana,c kama wale wanaotumia vyeti vya wahimu wengine.kwa kuwa alifaulu kwa akili zake mwenyewe,jina halisaidii chochote,hata we unaweza kubidili jina lako hata sasa!
wa kuchukuliwa hatua ni hao wanasiasa waliopiganae picha. hata kama hatakua ni mwanajeshi kweli lakni inaleta picha mbaya kwa jeshi letu, kwani inaweza kuligawa jeshi latu kisiasa na hivo kupelekea kutokea yale yanayoendelea kwa majirani zetu. naamini lema na nasasari wanajua kua askari...
migogoro yenu ni mtaji kwa wapinzani wenu wa kisiasa,mcpoangalia mtawarudisha wafuasi wenu wengi kulekule walikotoka.ta2eni migogoro yenu kwa amani,otherwise 2015 mtachakazwa vbya xna.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.