Recent content by Hassan r shaban

  1. H

    Masasi: Nyumba ya mbunge, magari 20, trekta vyachomwa moto... Watu wawili wadaiwa kuuawa!

    Hali ya amani katika mji wa masasi na vitongoji vyake si shwari kwa siku ya leo. kulianza na maandamano ya waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wakipinga unyanyasasi wa unaofanywa dhidi yao na askari polisi. maadaya ya kuzunguka katika barabara zote kubwa za mjini hapa,waandamanaji waliokua...
  2. H

    Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

    hiyo case ni ndogo sana,c kama wale wanaotumia vyeti vya wahimu wengine.kwa kuwa alifaulu kwa akili zake mwenyewe,jina halisaidii chochote,hata we unaweza kubidili jina lako hata sasa!
  3. H

    Zanzibar: Padre apigwa Risasi na watu wasiojulikana

    pole xna,mungu akuponye upesi!
  4. H

    Tamko la JWTZ juu ya picha ya Lema na Mwanajeshi katika Mwananchi la Leo

    wa kuchukuliwa hatua ni hao wanasiasa waliopiganae picha. hata kama hatakua ni mwanajeshi kweli lakni inaleta picha mbaya kwa jeshi letu, kwani inaweza kuligawa jeshi latu kisiasa na hivo kupelekea kutokea yale yanayoendelea kwa majirani zetu. naamini lema na nasasari wanajua kua askari...
  5. H

    Hatua zinaendelea kuchukuliwa kuhusu tuhuma na shutuma zilizotolewa

    migogoro yenu ni mtaji kwa wapinzani wenu wa kisiasa,mcpoangalia mtawarudisha wafuasi wenu wengi kulekule walikotoka.ta2eni migogoro yenu kwa amani,otherwise 2015 mtachakazwa vbya xna.
  6. H

    Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

    ndo vyombo 2livyonavyo hapa kwe2,vingi havipo neutral!
Back
Top Bottom