Recent content by Hasmoir

  1. Hasmoir

    Hatutakusahau Mwaka 2020 hakika

    Liverpool kubeba ubingwa Epl baada ya miaka 30
  2. Hasmoir

    TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

    Mwisho wa mwanadamu ni kulala chini ya tabaka za udongo. Tumetoka kwake Mola na kwake ndio marejeo.
  3. Hasmoir

    GE2020 Wasanii waliochukua fomu za kugombea ubunge kupitia vyama mbalimbali Uchaguzi Mkuu 2020

    Umemsahau Jacob Mkweche (Ringo) kachukua Songea vijijini
  4. Hasmoir

    Azam yazindua tamthilia ya kichochezi mauaji ya Wakristo, Serikali iko kimya

    Kuna upendo tv, emmanuel tv, star tv na channel ten kuna matamasha mengi tu ya Injili, kwanini uumizwe na hiyo tamthilia? Ukitaka movies za kizungu zipo channels nyingi unaweza angalia. Acha chuki na dini ya watu.
  5. Hasmoir

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Klopp, The History Changer.
  6. Hasmoir

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    We are Liverpool, The Champions 2019/2020 #YNWA
  7. Hasmoir

    Toa shotout kwa memba unayemkubali

    Shout out to me, myself and I. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Hasmoir

    10 Habits you never know they are destroying your kidneys

    Hapo mimi ni maji tu yan kwa siku hata lita moja sifikishi Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Hasmoir

    Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

    Kuhusu maombi ndio tunamuomba sana Mwenyezi Mungu Ili atuondoshee haya maradhi.Kuondosha au kutoondosha ni utashi wake, na kama ataamua kuondosha basi hapangiwi na yoyote muda wa kuondosha huu ugonjwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Hasmoir

    Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

    Quran21:35 " Kila nafsi itaonja umauti, na tunakujaribuni kwa mitihani ya shari na kheri, na kwetu sisi mtarejea" Magonjwa kama Corona ni miongoni mwa mambo ya shari tuliyopatiwa walimwengu kama aya inavyoeleza hapo juu, ni katika majaribu ya Allah juu ya viumbe wake, anafanya atakalo juu ya...
  11. Hasmoir

    Shinyanga Mjini Vs Tabora Mjini

    Mleta mada ameongelea Taboa mjini na Shy mjini, ajabu watu wanaleta hbr za Kahama na Nzega mara Kishapu mara Igunga. Tabora ipo vizuri kuliko Shy, maendeleo ni makubwa kwenye kila nyanja mfano miundombinu kama barabara zimeboreshwa sana, Tabora walipata udhamini wa World Bank wakatengenezewa...
  12. Hasmoir

    Uwanja wa Majaliwa | Vodacom Premier League (VPL) Namungo FC dhidi ya Yanga SC

    Hii Yanga wao ni kukamia mechi dhidi ya Simba halafu zingine wanakuwa wepesi kiasi hiki!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Hasmoir

    Nawaza kumtoa nduki mama mkwe nyumbani kwangu

    Aisee dunia ina mambo hii!! Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Hasmoir

    Fahamu kama namba yako ya NIDA ilitumika kusajili laini za simu usizozifahamu kwa mawakala wajanja wa kusajili laini

    Shukran sana hata mm kuna namba nimeiona imesajiliwa kwa namba yangu ya NIDA Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom