Sio kweli, hizo ni propaganda tu, gemu zinauhitaji mkubwa wa kiakili ili usolve misheni zake mwenye akili iliyoharibika hatoweza
Hivi tuseme wale waliokuwa wakicheza gemu ya snake kwenye nokia za tochi walitokwa na akili sio, badala yake inataka upambane ufikie high score zaidi kuliko ulipoishia...
Pole sana, lakini nilichokiona kwako ni kuwa unajitahidi sana kulifanya duara liwe pembe tatu, na mpaka sasa bado hujatanabahi kuwa hilo ni jambo ambalo haliwezekani, pole sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.