Mkuu inaonyesha walipo ccm chdm wanapatamani kwa nia ileile ya ccm (wanatumia dola /ipo siku chdm watakamata dola nadhani watakamata waitumie kwa lolote
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwer Kama ndio hivyo bac sheria hiyo ilisha expaya maana watumish wanafumaniana kila siku na hazchukuliwi hatua Kama hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haroo kwer mmeshikwa pabaya na mnazd kuongezeka uzur ni kwamba chukia uchukiavyo sema usemavyo utaishia hivyo tuu huwez badilisha chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani sisi wachunga ng'ombe tunajua sana fomula hiyo anaechelewesha mwendo anakua mbele anayeadhibiwa ni wa nyuma nida ni tatizo kubwa mnaandikisha na kupiga picha wew na mkeo mmoja kinakuja mwingine unarudia had unakata tamaa mwenyew waliotakiwa kupewa muda was mwisho ni nida sio raia
Sent...
Baba ndio anataka makorokoro ya ajabu amtafute mwenye mzigo amng'ang'anie maana imeandikwa kila mtu atabeba mzigo wake ikishindikana amuone makonda
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm naona hapo mmekutana kopo na mfuniko wake wote was visasa oaneni tuu c ameshalipiza tayar ila ukirudia kulipiza tena atalipiza hata na Mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.