Recent content by Hardman

  1. H

    JamiiForums Tanzania Paul Kagame: Nashangaa Afrika mashariki tunalima pamba na kuuza Nje ila tunaagiza nguo za mitumba kutoka nje

    Dangote kajenga Oil refinery kubwa Nigeria , tutor hizi mentality kwamba serikali ndo ifanye kila kitu, wafanyabiashara wazawa wawewekeze huko.
  2. H

    JamiiForums Tanzania Paul Kagame: Nashangaa Afrika mashariki tunalima pamba na kuuza Nje ila tunaagiza nguo za mitumba kutoka nje

    Sasa kama ni hivo watu binafsi waanzishe viwanda vya nguo tuvae mbona simple, mbona kuna juisi za Azam zina compete na Ceres au Del Monte, kuna mtu kazuia private sector kuanzisha viwanda vya nguo?
  3. H

    JamiiForums Tanzania Kuna kitu waafrika kusini wamenishangaza kuhusu Saed Ramovic

    You took it out of context, either intentionally or unintentional
  4. H

    JamiiForums Tanzania Sweden imetenga Euro 109 milioni ili kurudisha matumizi ya vitabu shuleni

    Hakuna sehemu nimesema hii habari ya uongo, nilihitaji chanzo kwa ajili ya kujisomea kiundani zaidi,
  5. H

    JamiiForums Tanzania Sweden imetenga Euro 109 milioni ili kurudisha matumizi ya vitabu shuleni

    Habari nzuri kama hii ukiiunganisha na chanzo chake inakaa poa sana
  6. H

    JamiiForums Tanzania KARIAKOO DERBY: Mechi baina ya Simba na Yanga, waamuzi watoke nje ya Tanzania kwa usalama wao pamoja na familia zao?

    sasa hapo kutakua kuna tatizo mahali , alafu Mpira ni mchezo wa makosa sio kwa wachezaji tu hata marefa, hata iweje hawawezi kuwa perfect 100% , kwa hiyo ni Bora kua shabiki maandazi na kushabikia hizi timu kujifurahisha tu na sio kujitwika unazi kwamba timu ya Mpira ndo source ya furaha yako.
  7. H

    JamiiForums Tanzania KARIAKOO DERBY: Mechi baina ya Simba na Yanga, waamuzi watoke nje ya Tanzania kwa usalama wao pamoja na familia zao?

    Acha kuweka rohoni na kutilia maanani sana ushindani wa Simba na yanga, huo ni utani tu na unaishia kwenye vita ya maneno tu, hatuhitaji kufika huko
  8. H

    JamiiForums Tanzania Niset vipi YouTube isijizime nkitoka kwenye screen?

    Download browser inaitwa brave, then fungua YouTube huko utaweza kuplay in background wakati unaendelea na mishe nyingine
  9. H

    JamiiForums Tanzania Influencer/brand ambassadors huwa wana ushawishi wa maana kwa watu kununua au kubadilisha bidhaa au huduma fulani?

    Narudia tena, influencers wa Tanzania hawana impact kama ya influencers wa sehemu nyingine kama US. Faida ya influencers wa Tanzania ni kuongeza kufahamika kwa brand husiku kitu ambacho mwisho wa siku kinaongeza mauzo. Watu sio vichaa kuendeleza kuwatumia hao watu unaowaona ni vilaza.
  10. H

    JamiiForums Tanzania Influencer/brand ambassadors huwa wana ushawishi wa maana kwa watu kununua au kubadilisha bidhaa au huduma fulani?

    Mkuu influencers Wana impact kubwa tu. Influencer wanaongeza visibility ya brand hasa kupitia kwenye digital platforms. Psychology ya manunuzi ilivo, ni rahisi mtu kununua kitu anachokifahamu au alichowahi kukisikia kuliko ambacho hajawahi kukiona au kukisikia kabisa. Sasa issue sio...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Hivi lengo la Hamas lilikuwa ni nini ile Oktoba 7, 2023?

    Ni ngumu sana kuelewa , ila kutokana na huo ugumu wa kuelewa inaonesha walikua na sababu kubwa iliyowasukuma, ugumu wa maisha inaweza kua moja wapo , so huenda ilikua ni suicide mission
  12. H

    JamiiForums Tanzania Ni lazima kupata kibali cha ujenzi kabla hujaanza kujenga nyumba ya makazi?

    Yes kwenye gharama sijaweka details zote...nime assume kwa DSM Ili apate picha,
  13. H

    JamiiForums Tanzania Ni lazima kupata kibali cha ujenzi kabla hujaanza kujenga nyumba ya makazi?

    1. Ni lazima kupata kibali cha ujenzi kwa sheria zetu 2. Kibali kinapatikana halmashauri ya mji husika 3. gharama ni 200k kwa maeneo yasiyopimwa, kama pamepimwa ni kwa square meter za jengo, 4. umuhimu ni kujihakikishia usalama wa jengo lako na kukuwezesha kupata mkopo kwenye taasisi za kifedha...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

    Ni delusional na sio delutional kama ulivoandika, shida yako una approach ndoa kama business partnership hapo ndo unapofeli. Mwanaume unatakiwa ujipange kuendesha maisha yako na familia yako bila kumtegemea mke wako. Mke anakuja kwenye ndoa kwa ajili ya mambo ya ndoa sio kukuongezea kipato.
Back
Top Bottom