Ndio hoja nzuri pia,hivi ndivo tutaifanya tz yetu iendelee,wizi unaonekana haufanyiwi kazi kabisa.Ni hela kiasi gani wanakusanya kipindi cha kujisajili kwa waonba mikopo,duuuh hatar sana bora hata wawe wanawapa watu wafanye mambo mengine bhna.
Katika kujisajili kwa mwanafunzi wa chuo kupata mkopo kwanini pale wanapokosa bodi husika isifanye pia mkakati wa kurudishia watu hela za watu maana ni hela nyingi za watu zinatumika kufanya hicho kitu na zinapotea bila hata mrejesho wowote hata kwa sms tu kwamba hujanufaika na hela zao.
Ni...
Watu wanapenda kunywa juisi za matunda ,na matunda kawaida lakn tatizo ni ugumu flan wa kwenda sokoni kununua matunda na kutengeneza wenyewe,ukifanya kuwasaidia na kuwapelekea walipo itasaidia sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.