Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,317
Nini kingetokea iwapo matangazo ya pombe / bia / vilevi yangemalizikia namna hii:
We kunywa tu! Usinywe kistaarabu wala nini!!!
Hii ikizingatiwa kwamba pombe haiuzwi kwa watu walio chini ya umri wa miaka 18.
Ina maana wanawaona walengwa wa matangazo ni mazumbukuku ulimwengu uko huku, kiasi kwamba inabidi wawatahadharishe kunywa 'kistaarabu' kwenye matangazo ya sasa? Kwamba wakiwaambia 'wanywe tu' wanaogopa watakunywa kweli?
Disclaimer: Swali la Kifalsafa.
We kunywa tu! Usinywe kistaarabu wala nini!!!
Hii ikizingatiwa kwamba pombe haiuzwi kwa watu walio chini ya umri wa miaka 18.
Ina maana wanawaona walengwa wa matangazo ni mazumbukuku ulimwengu uko huku, kiasi kwamba inabidi wawatahadharishe kunywa 'kistaarabu' kwenye matangazo ya sasa? Kwamba wakiwaambia 'wanywe tu' wanaogopa watakunywa kweli?
Disclaimer: Swali la Kifalsafa.