Hatuwezi kukubali watumie rasilimali za nchi kujinufaisha wao,wake zao,mahawara zao na watoto wao,ole Wao ukawa wakichukua nchi hakika watazirudisha au wataenda kunyea debe,acha wajione wao ndo watu na wengine majitu oktoba sio mbali...Naitamani sana oktoba nioneshe hasira zangu.
Tamaa ya madaraka ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo,Kila MTU anataka kuwa kiongozi ndio maana wanakimbilia vyama visivyo na mwelekeo tu ilimradi MTU upate cheo,kweli safari ya ukombozi bado ndefu.
Hbr,nimependa sana jinsi unavotuelimisha humu kuhusu magari,naming nataka kununua Gari ila napenda unisaidie ni Gari gani inauzwa bei ya chini ni ya kisasa na inatumia mafuta kidogo.ni kwa ajili ya safari za mjini tu,ukiweza nitajie bei kaka na wapi zinapatikana.ahsante.
Hbr wanna jukwaa,
Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali kuhusu act hapa jukwaani ila mimi nikaamua kwenda mbali zaidi kwa kufanya utafiti swali langu lilikuwa Je wananchi wasiotumia mitandao ya kijamii wanaifahamu na kuijadili act?majibu ni kwamba asilimia 99 ya wananchi waliopo vijijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.