Elly B
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,194
- 906
Leo, pamoja na kwamba ningependa kusema sana, sisemi. Ila naomba tuangalie hizi picha mbili, halafu kwa kutumia akili ya kawaida kabisa tuone kama vipaumbele vya serikali vinalenga kumsaidia nani!
Napenda nisieleweke vingine. Swala la ulinzi na usalama nalo linapaswa kupewa kipaumbele. Lakini tunamlinda nani kama tunazuia kibaka mmoja huku kuna kinamama kumi na watoto wao wako hatarini kufa?
Kwa nionavyo mimi ingekuwa heri kama tungenunua walau ambulance kadhaa ili kuwawahisha hao kinamama huko kusikokuwa na vitanda wala madawa. Ingesaidia japo wasafiri comfortably kwenda huko wasikojua hatima yao. Angalau.
Kwa hali hii tutafika?
Napenda nisieleweke vingine. Swala la ulinzi na usalama nalo linapaswa kupewa kipaumbele. Lakini tunamlinda nani kama tunazuia kibaka mmoja huku kuna kinamama kumi na watoto wao wako hatarini kufa?
Kwa nionavyo mimi ingekuwa heri kama tungenunua walau ambulance kadhaa ili kuwawahisha hao kinamama huko kusikokuwa na vitanda wala madawa. Ingesaidia japo wasafiri comfortably kwenda huko wasikojua hatima yao. Angalau.
Kwa hali hii tutafika?