Recent content by Hard drive

  1. Hard drive

    Mjadala wa katiba mpya

    1. Restructuring ya Muungano - maoni yangu 3 government kama rasimu ya Warioba 2. Ma-judge wasiteuliwe na Rais, watokane na mfumo wa kimahakama ili kuwapata ambapo watafanyiwa usaili 3. Mfumo wa serikali za mitaa ubadilishwe; maoni yangu tuwe na kanda za uongozi ili kumpunguzia mzigo Rais pia...
  2. Hard drive

    Kwa Katiba hii mbovu Rais anaweza kuuza mkoa wa Arusha na asihojiwe wala kushitakiwa mahala popote. Tuibadilishe

    Kwa lugha rahisi kama katiba haijaweka mipaka /katazo la kufanya hivyo literally ni sawa na kuruhusu jambo hilo.
  3. Hard drive

    Natufuta Santuli (old disc)

    Habari wakuu, Naomba kujua ni wapi ntapata old disc za wasanii hawa George Michael and WHAM, Babatunde Olatunje kwa Dar es Salaam. Ahsanteni
  4. Hard drive

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Ahsante sana mkuu,jina la wimbo?
  5. Hard drive

    ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Naomba kujua jina la wimbo na mwi/waimbaji wa wimbo wenye maneno haya; “Kule bagamoyo kulee,kule bagamoyo kuleee,kuna mandege meupe” Msaada tafadhali!
  6. Hard drive

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Naomba kujua jina la wimbo na wa/mwimbaji wa wimbo huu wa zamani(zilipendwa) wenye maneno haya ndani yake; “Kule bagamoyo kulee,kule bagamoyo kuleee, Kuna mandege meupe” Ahsante!
  7. Hard drive

    Wapi nitaupata wimbo huu wa zamani (zilipendwa)?

    Habari wakuu! Natanguliza shukrani wa wadau na wapenzi wa nyimbo za zamani (zilipendwa),naombeni msaada wa kujua jina la wimbo na wa/mwimbaji kwa kuwa msanii aliyeimba simjui wala jina halisi la wimbo silijui ,ila nakumbuka baadhi ya maneno yaliyomo kama; “kule bagamoyo kule, kule bagamoyo...
  8. Hard drive

    Tarehe mpya za kulipwa mshahara Serikalini zinanifanya nihoji uelewa wa watumishi

    Samahani au mm ndo sijakuelewa mkuu au ww haujaelewa alichoandika mkuu ? Yani mshara ata ukiwa unalipwa kila tarehe 5 ya kila mwezi ni sawa tu na mtu analelipwa kila tarehe 30 ya kila mwezi hakuna jipya hapo.....
  9. Hard drive

    Kilimanjaro yaendelea kuwa kinara wa elimu

    Yes, Kilimanjaro your Good ,lkn mnapenda sana matangazo,mbona mwaka jana T.O katoka mbeya hatukuona wanyakyusa wakijitamba kwa style kama hii. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Hard drive

    Acacia waishukuru Serikali kuhusu gold export North Mara ila walia kuzuiliwa na taasisi moja, wakiruhusiwa na nyingine, hawazalishi hadi zuio litoke!

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ww inaonekana sio mzalendo,unadai nn iyo?
  11. Hard drive

    Upi ni utamshi sahihi wa neno 'Ultra Sound'

    Ilikuwa habari ya kingereza au kiswahili
  12. Hard drive

    Je, Rais Uhuru Kenyatta amethibitisha Kenya ni jirani mwema?Je, wajua Rais Magufuli, japo hasafiri sana nje, lakini ni master diplomat on his own way?

    Ni kweli kabisa makubaliano hayo yapo ndiyo maana dhahabu zetu zimerudishwa,ila hili la kuchoma vifaranga+kupiga mnada ng'ombe tulitumia Sheria zetu za ndani+kimataifa bila kuzingatia mawasiliano ya kidiplomasia kati ya mataifa rafiki na jirani,ndiyo maana waziri wa Kenya alilamikia kitendo cha...
  13. Hard drive

    Je, Rais Uhuru Kenyatta amethibitisha Kenya ni jirani mwema?Je, wajua Rais Magufuli, japo hasafiri sana nje, lakini ni master diplomat on his own way?

    Hapa wa kusifiwa ni Rais Kenyatta,sisi Tanzania tulionesha neighborhood failure baada ya kuchoma vifaranga,kutaifisha/kuuza ng'ombe wa Kenya kwa mnada. Kwa pongezi hizi/sifa hizi Nadhani Pascal Mayalla siyo Yule ninayemfahamu, inawezekana ametekwa na wasiojulikana wanatumia simu yake.
Back
Top Bottom