SO MTOA MADA UNATAKA KUTUAMBIA KAMA SERIKALI TATU NDIO ZIMESABABISHA MAPINDUZI YA KIJESHI HUKO MISRI.
na kama si hivyo hata hizi mbili au moja kama itkuja mapinduzi yananweza kutokea endapo serikali itshindwa kutoa haki kwa raia wake.
HAINA MASHIKO THREAD YAKO, pitia historia ya Tanzania utaona...
wenyewe muamsho wamekana kuchoma moto makanisa, just ni njia ya kuwadhoofisha katika harakati zao za kudai zanzibar huru!
SOLUTION NI KURA YA MAONI KWANZA then mchakato wa katiba baadae.
EXCELLENT muandishi umebase kwenye ukweli zaidi, kuliko matashi yako binafsi. i like it.
inabidi kama itakuwa serikali tatu tanganyika iunde bunge lao la tanganyika na bunge lilikuwepo liwe la muungano au vp?
na bunge la tanganyika liwe responsible kwa kupitisha katiba ya tanganyika.
NGUMU...
vurugu zote zinasababishwa na serikali.njia pekee ya kusuluhisha ni kusikiliza wananchi wanataka nini.! kama kura ya maoni wawaachie wapige, kama wazanzibari wengi hawautaki huo muungano just kukaa chin na kuseparate vitu tulivyoungana maana ni baadhi tu! kama walivyofanya senegal na gambia bila...
dah ccm kweli mahodari kwa propaganda. jana niliziona zile karatasi zinagaiwa pale kisonge(maskani ya ccm) hao viongozi wa uamsho hakuna hata mmoja mpemba, sheikh mselem ni mdonge(unguja) juma musa aliekamatwa juzi akasababisha fujo mdonge(unguja) azzan mfenesini unguja, faridi mama yake pemba...
tatizo si wa kweli kama kweli tz inapenda kila nchi na wananchi wake waamue jinsi gani ya kuishi na kuamua juu ya nchi zao wangeiruhusu zanzibar kupiga kura ya maoni kama wanataka kuwa huru au laa!
jenga kwako kwanzaa jirani baadae.
zanzibar imo kwenye ramani ya dunia na inajulikana hata katika google earth ukiiangalia itakuja bt tanganyika haipo ktk ramani ya dunia.
tanganyika haipo!
Tanganyika ndio useless maana wenzetu washapiga hatua nyingi tuu,
waznz wana bunge, mahakama, wimbo wa taifa, bendera, rais ss hivi wanatafuta mamlaka ya kimataifa<soveirnity>
cha kujiuliza endapo wakiweza kutoka kwenye muungano tanganyika itaanza wapi? hatuna chochote!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.