Nyerere, Tanganyika tunatukanwa na tukae kimya?

Status
Not open for further replies.
Wanapenda wali, ugali hawali wanasema si chakula kwa kuwa hakiungwi. Wanajua shughuli ya kulima mpunga??

Ugali hawaupendi kwa kuwa ni mgumu, vitu vigumu gumu hawavipendi! si unajua watu wenye usaudia? wao nakshi nakshi tu, wanapenda khalua, orojo, biriyani, keki, yaani wanapenda laini vitu vya kudondoka bila kusukuma saaaana na pia mafuta ya nazi na manukato ya kiarabu aaakh buheeeri...
 
Kwa nini mnataka kutumia mabavu na kumwaga damu bure? wenzetu wa visiwani kama hawataki muungano waitishe kura ya maoni wajitenge full stop kuna haja gani ya kuwashika kwa nguvu?? waache wawe huru hiyo ndio demokrasia
Osokoni hilo ndilo neno waache waende kwanza hawana faida zaidi ya hasara
 
Zanzibar mkijetenga mjue wazi kuwa kisiwa cha Pemba nacho kitataka kujitenga na Unguja. Na wala sitashangaa kuona Pemba bado wanaunga mkono Mungano. Sijui itakuwaje iwapo kisiwa kinachotaka kujitenga ni cha Unguja tu, ambapo Pemba wenyewe bado wanaunga mkono Mungano.
Sawa nchi hii itaitwa TANPEMNIA.
 
Mkuu wewe unajua, napinga miaka 1000 kama kuna mtu anabisha kuwa hakuna kitu kitakachoitwa nchi ya Zanzibar, wazanzibar ni kama vitoto bado vinacheza, au ni mfano wa mas hoga wanaojua kuwa wao ni wanaume lakini wanatia wanja makusudi na huvaa kike, wanajua kuwa Shein ni Waziri asiye na Wizara Maalum, lakini wanajisemea eti tuna rais (mbona hata mimi ni katika maduka yangu?) eti wana bendera (mbona makampuni mengi tu yana bendera yake?) eti wimbo wao wanasema wimbo wa taifa kiukweli ni wimbo wa serikali na mbona makampuni mengi yana wimbo wake? hata katika kabila moja bara kila mtoto anapewa wimbo wake akisaliwa tu. Serikali moja tu ndio dawa!

images

images
images
images
Z
images
images
images
9k=
images
images
images
download+%25288%2529.jpg
Jengo la bodi ya mapato Zanzibar (ZRB) lililopo Mazizini Unguja lilofunguliwa na Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohammed Shein.
.............................................................................................................................................................

wacheni longolongo zenu hizo Wa Tanganyika wenzangu nyie badala ya kupigania tukaikomboa Tanganyika yetu na kulirudisha hadhi ya taifa letu la Tanganyika....imebaki tunafuatilia mambo ya wa Zanzibari na nchi yao mambo ambayo hayatuhusu kabisa.....Wacheni Wa Zanzibari na nchi yao wazidi kufanya maendeleo yao....ni kitu ambacho hakituhusu kufuatilia sisi Wa Tanganyika tunatakiwa tupambane na Mafisadi wanazidi kuimaliza nchi yetu ya Tanganyika........nchi ya Zanzibar ni nchi iliyojulikana mwanzo na dunia na Zanzibar ni nchi ya mwanzo kupandisha bendera yake katika Umoja wa Mataifa huko New york hata kabla ya Tanganyika:tape:
..................................................................................................................................................
PIGANIA HAKI YAKO MTANGANYIKA ACHANA NA WAZANZIBARI NA NCHI YAO
A%20S-fire1.gif
 
nani atathubutu kuvunja muungano???????
wazanzibar ndio wenye haki ya nchi yao ndio wataovunja muungano.......nchi nyingi tu duniani wamevunja muungano baada ya kuona hakuna maslahi kwao...kwa nini zanzibar ishindwe?

Senegal and gambia walivunja muungano
ethiopia and eritria walivunja muungano
soviet union ilivunjika yote

why not zanzibar...wewe shogaa nini?
 
wazanzibar ndio wenye haki ya nchi yao ndio wataovunja muungano.......nchi nyingi tu duniani wamevunja muungano baada ya kuona hakuna maslahi kwao...kwa nini zanzibar ishindwe?

Senegal and gambia walivunja muungano
ethiopia and eritria walivunja muungano
soviet union ilivunjika yote

why not zanzibar...wewe shogaa nini?
Wazanzibar bwanaaaa, utawajua kwa matusi.
 
Nyerere mnadhubutu kumuita Baba wa Taifa anatukanwa kuliko Mbwa na bado Serikali na Majeshi yake inatulia?

Watanganyika (Watanzania bara) wanatukanwa na kubaguliwa kuliko Mbwa na bado kimya?

Visiwa vyetu tulivyovikomboa kwa jitihada ya Mwalimu Nyerere ndio leo vinatuita koti linalobana kwa hiyo wanatuvua?

Wamenona kumbe, baada Nyerere kumtimua sultani kwa nguvu na jasho letu Watanganyika, wananchi (watumwa) walioachwa na sultani tukawalisha mpaka hivi leo wamenona wana maendeleo kuliko Bara, wana umeme wetu toka Ubungo kwa masaa 23 mpaka 24 wakati Watanganyika wengi wakihangaika, vingi wanavyonufaika kutoka kwetu (hebu wakuu jaribuni kuorodhesha wanatutapeli) wao wanaona tunawahonga au kujipendekeza wabaki ndani wakati wao ndio wana deni la kukombolewa, jamani mbona serikali kimya, jeshi kimya?

Na sisi wananchi mbona kimya? Wenzetu wangapi kule Zenji wamepigwa, wamebakwa, wamekamatwa, wamechomewa, wamefukuzwa na manyanyaso mengi tu, kwa nini kisehemu cha nchi yetu cha watu laki 6, kwa sababu laki 6 wengine wako Bara watuibie na kutunyanya watu milioni 48? Tuwape ushindi makundi ya Uamsho wa Kiislamu yanayofadhiliwa na Iran yanajifanya yanatumia dini ili kuvunja Muungano? Au tukabili hili janga lingali bichi?

DAWA NI SERIKALI MOJA TU, JAMHURI YA TANZANIA (SIO YA MUUNGANO) MUUNGANO NI MIAKA HIYO, SASA HAMNA CHA KUUNGA TENA WA KUGAWA, NCHI SIO KOTI KAMA MIDEBWEDO INAVYODAI.

VIVA JAMHURI YA TANZANIA!!!



VIDEO0138 | Facebook
 
Nyerere mnadhubutu kumuita Baba wa Taifa anatukanwa kuliko Mbwa na bado Serikali na Majeshi yake inatulia?

Watanganyika (Watanzania bara) wanatukanwa na kubaguliwa kuliko Mbwa na bado kimya?

Visiwa vyetu tulivyovikomboa kwa jitihada ya Mwalimu Nyerere ndio leo vinatuita koti linalobana kwa hiyo wanatuvua?

Wamenona kumbe, baada Nyerere kumtimua sultani kwa nguvu na jasho letu Watanganyika, wananchi (watumwa) walioachwa na sultani tukawalisha mpaka hivi leo wamenona wana maendeleo kuliko Bara, wana umeme wetu toka Ubungo kwa masaa 23 mpaka 24 wakati Watanganyika wengi wakihangaika, vingi wanavyonufaika kutoka kwetu (hebu wakuu jaribuni kuorodhesha wanatutapeli) wao wanaona tunawahonga au kujipendekeza wabaki ndani wakati wao ndio wana deni la kukombolewa, jamani mbona serikali kimya, jeshi kimya?

Na sisi wananchi mbona kimya? Wenzetu wangapi kule Zenji wamepigwa, wamebakwa, wamekamatwa, wamechomewa, wamefukuzwa na manyanyaso mengi tu, kwa nini kisehemu cha nchi yetu cha watu laki 6, kwa sababu laki 6 wengine wako Bara watuibie na kutunyanya watu milioni 48? Tuwape ushindi makundi ya Uamsho wa Kiislamu yanayofadhiliwa na Iran yanajifanya yanatumia dini ili kuvunja Muungano? Au tukabili hili janga lingali bichi?

DAWA NI SERIKALI MOJA TU, JAMHURI YA TANZANIA (SIO YA MUUNGANO) MUUNGANO NI MIAKA HIYO, SASA HAMNA CHA KUUNGA TENA WA KUGAWA, NCHI SIO KOTI KAMA MIDEBWEDO INAVYODAI.

VIVA JAMHURI YA TANZANIA!!!

VIDEO0138 | Facebook
 

Hakuna nchi inayoitwa zanzibar.
Zanznibar si nchi bali ni sehemu ya tanzania, swala la kujitenga halitatokea kamwe kwani hakuna sababu ya msingi ya kutenga sehemu ya nchi yetu that why hamna capacity ya kuingia kwenye treaty with any state pasipo Tanzania.
Nawashauri nendeni shule ili muende sambamba na soko la ajira na uchumi kwa ujumla.
Hakuna nchi inayoitwa Zanzibar, na haitatokea kamwe.
Huyo ambaye mnamwita raisi wa Zanzibar ni ceremonial tu, ameapishwa kama waziri wa kawaida kabisaa.

[/QUOT
WACHA KUUPOTOSHA UMA WA TANGANYIKA WEWE....ZANZIBAR NI NCHI INAYOJULIKANA ULIMWENGUNI KAMA WAMEUNGANA NA TANGANYIKA NA KUWEKA JINA TANZANIA KWA MUDA.....NCHI YETU YA TANGANYIKA NDIO HAIJULIKANI DUNIA....KWA UJANJA MWINGI WA JULIUS UMEKUWA MBELE KIZA!! ZANZIBAR BADO MATAIFA MENGI TU DUNIANI WANAIJUA ZANZIBAR :tape:
IMG_1088.JPG

IM+0693.JPG

YUPO WAPI RAIS WA TANGANYIKA ANAEKWENDA KUIWAKILISHA TANGANYIKA???
 
zanzibar ni nchi iliyoungana na bara kipindi hicho cha ujima na ambapo kiwango cha elimu kilikuwa chini mithilli ya ngumbaru. Zanzibar wana katiba, bendera na kiongozi wao anapigiwa mizinga kuashiria kuwa ni dola kamili. Bara ndio watumwa ambao hawana hata katiba, bendera na hata jina la nchi iliyokuwa yao ya "tanganyika" na kubakina historia mfano bara inasherehekea siku ya uhuru ya nchi gani ambayo haipo?
 
Zanzibar ni nchi mzee, nenda majuu, TANGANYIKA haipo wala haijulikani. Hivi pakiwepo na ugonvi kati ya yako na jirani yako juu ya mambo ya kimaisha na msuluhishi akasema kila mtu aweke katiba yake mezani ili apate mwongozo wa kupatanisha; hivi wewe isiyekuwa na katiba, jina na hata utambulisho (nembo) si utaonekana *****?. Utapatanishwa utafanywa vipi kati yako usiyekuwa nakatiba na mwenye katiba? Tanganyika isiyokuwepo na Zanzibar ni ipi chi? jibu ni rahisi -Zanzibar huru na bara siyo nchi ni Koloni la Zanzibar.
 
wazanzibar useless

Tanganyika ndio useless maana wenzetu washapiga hatua nyingi tuu,
waznz wana bunge, mahakama, wimbo wa taifa, bendera, rais ss hivi wanatafuta mamlaka ya kimataifa<soveirnity>
cha kujiuliza endapo wakiweza kutoka kwenye muungano tanganyika itaanza wapi? hatuna chochote!
 
Zanzibar ni nchi mzee, nenda majuu, TANGANYIKA haipo wala haijulikani. Hivi pakiwepo na ugonvi kati ya yako na jirani yako juu ya mambo ya kimaisha na msuluhishi akasema kila mtu aweke katiba yake mezani ili apate mwongozo wa kupatanisha; hivi wewe isiyekuwa na katiba, jina na hata utambulisho (nembo) si utaonekana *****?. Utapatanishwa utafanywa vipi kati yako usiyekuwa nakatiba na mwenye katiba? Tanganyika isiyokuwepo na Zanzibar ni ipi chi? jibu ni rahisi -Zanzibar huru na bara siyo nchi ni Koloni la Zanzibar.
Kujulikana sana majuu ndio kuwa nchi? basi na serengeti au kilimanjaro nazo nchi
 

Hakuna nchi inayoitwa zanzibar.
Zanznibar si nchi bali ni sehemu ya tanzania, swala la kujitenga halitatokea kamwe kwani hakuna sababu ya msingi ya kutenga sehemu ya nchi yetu that why hamna capacity ya kuingia kwenye treaty with any state pasipo Tanzania.
Nawashauri nendeni shule ili muende sambamba na soko la ajira na uchumi kwa ujumla.
Hakuna nchi inayoitwa Zanzibar, na haitatokea kamwe.
Huyo ambaye mnamwita raisi wa Zanzibar ni ceremonial tu, ameapishwa kama waziri wa kawaida kabisaa.

[/QUOT
WACHA KUUPOTOSHA UMA WA TANGANYIKA WEWE....ZANZIBAR NI NCHI INAYOJULIKANA ULIMWENGUNI KAMA WAMEUNGANA NA TANGANYIKA NA KUWEKA JINA TANZANIA KWA MUDA.....NCHI YETU YA TANGANYIKA NDIO HAIJULIKANI DUNIA....KWA UJANJA MWINGI WA JULIUS UMEKUWA MBELE KIZA!! ZANZIBAR BADO MATAIFA MENGI TU DUNIANI WANAIJUA ZANZIBAR :tape:
IMG_1088.JPG

IM+0693.JPG

YUPO WAPI RAIS WA TANGANYIKA ANAEKWENDA KUIWAKILISHA TANGANYIKA???

kujulikana duniani sio issue, swala la msingi ni kwamba its not subject to international law.
Jaribu ku-consult books especially international law porojo za mtaani zinakudanganya.
 
Nyerere mnadhubutu kumuita Baba wa Taifa anatukanwa kuliko Mbwa na bado Serikali na Majeshi yake inatulia?

Watanganyika (Watanzania bara) wanatukanwa na kubaguliwa kuliko Mbwa na bado kimya?

Visiwa vyetu tulivyovikomboa kwa jitihada ya Mwalimu Nyerere ndio leo vinatuita koti linalobana kwa hiyo wanatuvua?

Wamenona kumbe, baada Nyerere kumtimua sultani kwa nguvu na jasho letu Watanganyika, wananchi (watumwa) walioachwa na sultani tukawalisha mpaka hivi leo wamenona wana maendeleo kuliko Bara, wana umeme wetu toka Ubungo kwa masaa 23 mpaka 24 wakati Watanganyika wengi wakihangaika, vingi wanavyonufaika kutoka kwetu (hebu wakuu jaribuni kuorodhesha wanatutapeli) wao wanaona tunawahonga au kujipendekeza wabaki ndani wakati wao ndio wana deni la kukombolewa, jamani mbona serikali kimya, jeshi kimya?

Na sisi wananchi mbona kimya? Wenzetu wangapi kule Zenji wamepigwa, wamebakwa, wamekamatwa, wamechomewa, wamefukuzwa na manyanyaso mengi tu, kwa nini kisehemu cha nchi yetu cha watu laki 6, kwa sababu laki 6 wengine wako Bara watuibie na kutunyanya watu milioni 48? Tuwape ushindi makundi ya Uamsho wa Kiislamu yanayofadhiliwa na Iran yanajifanya yanatumia dini ili kuvunja Muungano? Au tukabili hili janga lingali bichi?

DAWA NI SERIKALI MOJA TU, JAMHURI YA TANZANIA (SIO YA MUUNGANO) MUUNGANO NI MIAKA HIYO, SASA HAMNA CHA KUUNGA TENA WA KUGAWA, NCHI SIO KOTI KAMA MIDEBWEDO INAVYODAI.
VIVA JAMHURI YA TANZANIA!!!


Samahani kabla sijachangia hivi CAPTAIN MAHFUDHI YUKO WAPI?
 
Mkuu tukuwapa uhuru ndio tutajutia maisha, kwani sasa wanaponzwa na walewale walioipotosha Somalia miaka 22 iliopita na hatimae nchi huyo imefali na inafelisha majirani pia,
Zanzibar kwa asilia 100 itafeli, kwa njaa watahamia baharini kafanya uharamia tu, wataiua Tanganyika kabisa kibiashara.
Samaki mkunje angali mbichi, wasitoke hata kidogo/


Samahani kabla sijachangia hivi CAPTAIN MAHFUDHI YUKO WAPI?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom