MIMI nilifikiri sasa ni muda wa sisi kama taifa kujitegemea na kukataa misaada kumbe tuliyokataa ni ya wazungu wanaotutaka tusimamie demokrasia lakini tunaendelea kupokea ya wachota pembe za ndovu!!!! haya basi sawa
Lissu ameongea kinafiki sana na kaoneaha chadema sio taasisi makini iweje katibu mkuu aandike barua ya kujiuzulu halafu miezi miwili baadae uje kutuambia chama kimemlipa mshahara? Kwa kazi gani? Lakini mbona hataki kujikita kwenye contents za alichosema slaa?? Mbona hajaongelea ile likizo...
Mkuu sasa mbona unajipiga dole halafu unanusa tena shangazi yangu!!!???!! Embu tafuta sehemu iliyoandikwa na mtoa post kuwa ccm ni chama kizuri...hivi kwa akili ulizorithishwa na hawara wa dada yako unajua kuwa vyama vinane mpaka sasa vimesimamisha wagombea urais???!! Siku nyingine usitawaze...
Aisee hao jamaa wanapiga kazi sana...yani wanakuhudumia tangu saa tisa alfajiri!!!! tuwe na shukurani jaman yani mtu saa tisa yupo kituoni kugawa namba... hongereni tume kutuletea wachapa kazi...ongezeni mashine
Wanajipa upofu wa makusudi...wakijikwaa watashtuka tu... kama CUF waliitwa majina anayoitwa zitto leo na bado wakaingia ukawa ndo itakua ACT chama kubwa!!
Chedema ni CCM C baada ya kuungana na CUF waliokua mashoga na ccm B... kwanza nyie ukawa si ndo mnaunda serekali ya umoja na ccm kule Zanzibar???!! fools
labda wacha tuwarahisishie tu YES ACT inapambana na chadema, so what? chadema inapaambana na nani? ni lini chadema iliwahi kuipigia kampeni CUF au NCCR si hawa chadema waliokataa kuunda kambi ya pamoja ya upinzani bungeni na CUF na NCCR? hivi leo imeiasha miaka mitano na tunaelekea uchaguzi ndo...
yani watanzania sisi ni watu wajinga sana, nashangaa huu uzi unawachangiaji lukuki ambao wanajaj bila kwenye habari ambayo haina nukuu povu linawatoka watu kwa story ya kidaku...mnaendekeza mapenzi ya kisiasa kwa ujinga, eti leo mtu anahoji halima hana kampuni ya ujenzi wakati huo jana pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.