Sitta apangua tuhuma za Zitto

Sitta apangua tuhuma za Zitto

Majizi wameanza kulipuana wenyewe kwa wenyewe
 
zzk nakupongeza kaz nzur unayofanya mweny akili atakufata make mpaka saizi una bifu sekta zote tofauti ni wananchi tu wanaokkubali unaowaangaikia ila nakusihi uckate tamaa

anakuhangaikia wewe huyo hana lolote ni mpiga madili tu.ndo ninyi ZITO kesho akoamka akasema jana kuna watu wameiba pesa ikulu mnasema ndio na kushabikia bila hata kuhoji.na udini ndo unawasukuma kuwa watumwa wa zzk.
 
Huyo ndio mh 6 akiongea hivi wewe elewa kinyume chake,maana haelewekagi kama zilivyo nywele,nywele zina tabia ya kubadilika jina kwa kutegemea ziko sehem gani ya mwili!
 
Vitu vya ajabu wameshawekeana MoU halafu ndio useme bado awajafanya value analysis hivi ndio procedure za kufanya mikataba zilivyo.

Itakuwa wazimu basi kama Rugemalira anatafuta investors kama ground zenyewe za makubaliano ya kuwekeza azipo clear how exactly do you convince someone to give you over $50b kama auna ata understanding na serikari si anaweza kukuona mkichaa.

I go with Zitto's version na vyombo vya magazeti kuliko hili tamko la Sitta if anything anacho tuthibitishia something is not right kwanini aongope.
 
ha ha ha ha ha Chadema leo wameamini na kuyakubali majibu ya Sitta akimtetea Rugemalira!!! Kweli chadema yamekua ma ccm C!!
 
Back
Top Bottom