Mimi ni mama wa familia Nina watoto wawili nimeolewa natafuta kazi yoyote ila nipo GEITA mjini Nina miaka29 nisaidie tadhali mwenye connection namba yanu ni 0622575581 kwa ajili ya kazi tu elimu yangu form 4 kwa GEITA mjini itakuwa vizuri maana na familia
Kama Bado unampenda kupunguza kulalamika alafu kuwa bize ,kingne usiombe tendo la ndoa jifanye huna mda nae ila muheshimu fanyie Kila kitu anapasa kufanya mwanamke ila usishoboke nae mwenywe utaona majibu
Nikweli lakni sio wote ni omba omba kuna wanawake tunajielewa mfano kama ninatabia ya kutoomba kabisa pesa labda ujiongeze lakni pia kama hujiongez nakupiga chini lakni sikuombi kwaiyo wapo pia wengne kama mim
Jamani mimi nachoka na hawa wanaume anakutongoza asubui jioni anapiga simu anakuhitaji jamani Yani hata kumfikilia tu unakuwa bado eti anataka tunda jamani haya Mambo ni hisia labda kwa wale waonauza k sababu anajua yupo kazini lakini kwa wa kawaida sio poa.
Kwanini msiwe kama wenzetu huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.