Pole sana, ulichokosea ni kuzidi kulimbikiza mamilioni ya mademk huku ukiwa bado una mamilioni ya madeni unadaiwa na ukitazama kamshahara kenyewe kadogo. Pesa ya mkopo haipelekwi kuanzishiwa bihashara mpya Bali inaongezewa kwenye bihashara iliyokuwepo imekwishasimama. Huna uzoefu na bihashara...
Akirudi kutoka boarding ndo atajua atumie mbinu gani ili kumsaidia huyo mtoto aishi kwa amani hapo nyumbani. Ila kwa sasa atumie hiyo njia ya haraka ili kumuokoa huyo mtoto asizidi kuumia na kuharibika kisaikolojia zaidi
Aisee pole sana, huyo mkeo ni utafikiri hajaingia leba?. Cha kufanya mpeleke huyo mtoto shule ya boarding awe anarudi likizo tu, na then mwambie atoe ndugu zake ajue pa kuwapeleka pia, iwe pasu kwa pasu. Mke usimuache , utaacha wanapi?, Mana Kila binadamu ana mapungufu yake, unaweza kutana na...
Ulichofanya siyo sawa, kama ulikuwa humtaki basi hizo pesa zake za vocha usingekuwa unazitumia, ungemrudisha mwenyewe hata kama alikupa kwa hiari yake ujaomba. Lakini kitendo cha kufika mpaka lodge sidhani kama mlipanga kumeet na kupiga story tu dear. Na kama ulitaka story tu bila sex, basi...
Mwanaume nnayemuhitaji awe na sifa hizi;
~ Miaka 28 mpaka 35
~ Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
~ Awe mkristo, RC itapendeza zaidi
~ Mkoa wowote, akiwa DSM itapendeza zaidi
~ Mrefu wa kawaida
~ Asiwe na mtoto
~Awe serious na si mume wa...
Mbona huyo Binti Hana shida. Ila mwenye shida ni wewe.
Ukisoma tu hizo chatting unaelewa kabisa, manka ametania. Hana maana mbaya
Ukichukulia Kila kitu serious kwenye mahusiano, utateseka vibaya mnoo..
Ina Mana mnaishi bila utani wowote?. Hayanogiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.